PAPA LEO AKEMEA RUSHWA AKIWA GUINEA

Date:

Share post:

CIUDAD DE LA PAZ, Guinea

AKIWA ziarani nchini Guinea ya Ikweta, Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, amelaani vitendo vya rushwa, pia akihimiza usawa.

Guinea ya Ikweta imekuwa kituo chake cha mwisho katika ziara yake ya siku 11 kwa mataifa manne ya Afrika. Alishafika Algeria, Cameroon na Angola.

Pia, katika ibada yake iliyohudhuriwa pia na Rais Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, Papa alihimiza umuhimu wa usawa na utawala bora.

Rais Mbasogo amekuwa madarakani tangu mwaka 1979, hivyo kwa sasa anashikilia rekodi ya kuwa ndiye kiongozi aliyehudumu muda mrefu zaidi duniani.

“Lazima uwepo uwanja mpana wa watu kuwa huru. Utu wa mtu unapaswa kuwa kipaumbele kwa namna yoyote ile.”

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

GUARDIOLA AMPONZA KOCHA WA BURNLEY

LONDON, Uingereza KOCHA wa Burnley, Scott Parker, amekalia kuti kavu baada ya timu hiyo kufungwa bao 1-0 na Manchester...

BERNARDO AWEKA REKODI MPYA MAN CITY

MANCHESTER, Uingereza KATIKA ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Burnley, kiungo wa Manchester City, Bernardo Silva, ameweka rekodi ya...

MABOSI WAMTAKA BRUNO KUBAKI UNITED

MANCHESTER, Uingereza UONGOZI wa klabu ya Manchester United uko tayari kufanya lolote ili kumbakiza kiungo wake raia wa Ureno,...

CESC FABREGAS KOCHA MPYA CHELSEA?

LONDON, Uingereza KLABU ya Chelsea inaangalia uwezekano wa kumkabidhi benchi la ufundi kiungo wao wa zamani raia wa Hispania,...