TWIGA STARS YAPIGWA WAFCON

Date:

Share post:

Bao la kiungo mshambuliaji wa Mali, Saratou Traore, lilitosha kuipa ushindi dhidi ya kikosi cha wanawake wa Tanzania, ‘Twiga Stars’ katika michezo wa michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wanawake (WAFCON) uliochezwa jana kwenye Uwanja Berkane, mjini Morocco.

Saratou alifunga bao pekee dakika ya nyongeza ya kipindi cha kwanza kwa shuti Kali baada ya mabeki wa Twigs Stars kushindwa kuokoa mpira wa hatari wa adhabu kwenye lango lao.

Katika michezo huo, Mali walianza kucheza kwa kasi wakitumia nguvu kubwa kuhakikisha wanapata bao dhidi ya wapinzani wao Twiga Stars..

Hats hivyo, Twiga Stars walikosa nafasi nyingi za kufunga kutokana na ubutu wa washambuliaji wao

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

UCHUMI WA CHINA WAZIDI KUIMARIKA

BEIJING, China LICHA ya vita vya Marekani na Iran kuonekana kuitikisa dunia, China imeendelea kupiga hatua kubwa katika eneo...

SIKU 100 ZA RAIS MPYA WA VENEZUELA: MABADILIKO NA MASWALI MAPYA

CARACAS, Venezuela BAADA ya vikosi vya Marekani kumng’oa madarakani aliyekuwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro kwenye oparesheni ya Januari...

MAELFU YA FAMILIA SUDAN BADO WAKIMBIA VITA, HALI YA MAISHA YAZIDI KUWA MBAYA

MAELFU ya familia nchini Sudan bado wanalazimika kuyakimbia makazi yao, miji na hata mipaka ya nchi kufuatia vita...

ISRAEL YAENDELEA NA OPERESHEN DHIDI YA HEZBOLLAH NCHINI LEBANON

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Jeshi la nchi yake linaendelea na operesheni dhidi ya wanamgambo wanaoungwa...