ZELENSKYY AMSHUKURU PAPA FRANCISCO

Date:

Share post:

VATICAN

RAIS wa Ukreini, Volodymyr Zelenskyy amemshukuru kiongozi wa Kanisa Katoliki Duanini, Papa Francisco kwa kuunga mkono upatikanaji amani nchini kwake.

Zelenskyy alitoa shukrani hizo kwa Papa Francisco Disemba 28, 2023 alipozungumza naye kwa njia simu ambapo Papa aliitumia fursa hiyo kuwatakia wananchi wa ukreini heri na baraka katika maadhimisho ya sherehe ya Noeli kwa mwaka mpya 2024.

Kwa mujibu wa mtandao wa habari za Kanisa Katoliki Daniani, Papa Francisco na Zelenskyy walijadali mpango wa amani unaopaswa kutekelezwa kwa vitendo nchini Ukreini.

Mei 13, mwaka huu, Zelenskyy alifanya ziara Vatican na kukutana na Papa Francisco na ziara yake hiyo ilitanguliwa na kikao chao cha kwanza kilichofanyika siku chache kabla ya vita baina ya Urusi na Ukreini kuanza.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...