RAIS Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO . Aundrey Axoulay alipotembelea Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris, Ufaransa jana. Rais Samia alikuwa nchini Ufaransa kwa ziara ya kikazi. (Picha kwa hisani ya mpiga picha wa Ikulu)
| Rais Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili ofisi za UNESCO Makao Makuu, zilizopo Paris Ufaransa. (Picha ya kwa hisani ya mpiga picha wa Ikulu) |






