RAIS SAMIA ALIPOKUTANA NA MEYA WA JIJI LA NEW YORK, MAREKANI

Date:

Share post:

Rais Samia Suluhu Hassan alipokutana na kuzuzungumza na Meya wa Jiji la New York, Marekani. Eric Adams Jijini Aprili 18, 2022. (Picha zote kwa hisani ya Ikulu)

Rais Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Meya wa Jiji la New York, Eric Adams baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika katika jiji hilo Aprili 18, 2022. (Picha kwa hisani ya Ikulu)

Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na mtangazaji maarufu wa Kituo cha Televisheni cha CBS cha Marekani, Gayle King. Rais Samia alikutana na wafanyabiashara, wawekezaji na wadau wakuu wa Sekta ya Habari nchini Marekani alipokuwa katika Jiji la New York, Aprili 18 , 2022.


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...