Wiki ya mlipa kodi kuanza Machi 5

Date:

Share post:

 
Wiki ya mlipa kodi kuanza Machi 5

 

Wiki ya elimu kwa mlipa kodi inatarajiwa kuanza Machi 5 hadi 9 katika mikoa yote nchini.

Kwa mujibu ya taarifa iliyotolewa jana na Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi, Richard Koyombo, lengo lililokusudiwa ni katika wiki hiyo ni kuelimisha, kusikiliza malalamiko, changamoto na kupokea mrejesho na maoni mbalimbali kutoka kwa walipakodi.
Alisema pamoja na masuala mengine, TRA itatumia wiki hiyo kutoa elimu ya ulipaji kodi ya majengo kwa njia ya kielektroniki, elimu kuhusu mkataba wa huduma kwa mlipa kodi na matumizi sahihi na umuhimu wa kutumia Mashine za Kielektroniki za Kutolea Risiti (EFDs).
Pia, itatoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kudai na kutoa risiti kila wanapouza au kununua bidhaa na huduma mbalimbali.
Aidha, utafanyika usajili wa walipakodi wapya kwa mwaka wa fedha wa  2017/18 mamlaka. TRA imekusudia kusajili walipakodi wapya 1,000,000 nchi nzima.

 

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...

BARCA YAPATA MRITHI WA LEWANDOWSKI

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona imeanza mipango ya kumsajili mshambuliaji wa kati wa Real Mallorca, Vedat Muriqi, ikiamini anatosha...

ARSENAL AKILI YOTE KWA MONGA

LONDON, UingerezaARSENAL ya Kaskazini mwa Jiji la London imeonesha nia ya kumsajili winga anayefanya vizuri Ligi Daraja la...