CHANZO CHA AJALI YA NDEGE ILIYOUA WATU 132 CHAFAHAMIKA

Date:

Share post:

BEIJING, China

INJINI kukatishiwa mzunguko wa mafuta ndiyo chanzo cha ajali ya ndege aina ya Boeing 737 iliyotokea mwaka 2022 nchini China.

Majibu hayo yametokana na uchunguzi uliofanywa na Bodi ya Usalama wa Sekta ya Usafiri ya Marekani (NTSB).

Ni kwa maana, NTSB inathibitisha madai ya awali, kwamba ajali hiyo ilisababishwa kwa makusudi.

Katika ripoti yake, NTSB imeeleza kuwa kasi ya injini ya ndege hiyo ilipungua ghafla baada ya kusitishiwa mfumo wa kufikiwa na mafuta.

Ajali hiyo iliyosababisha vifo vya abiria 132, inatajwa kuwa ndiyo kubwa zaidi ya usafiri wa anga ya China kwa miaka 10 ya hivi karibuni.

Hata hivyo, wakati NTSB ikiibuka na madai hayo, bado China haijatoa ripoti yake ya mwisho juu ya chanzo cha ajali.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

BAHI YA TUMIA MICHEZO KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma imezindua kampeni maalum ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kupitia mashindano...

RC MAKALLA ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA UWANJA NA BARABARA ZA AFCON ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Gabriel Makalla amesema ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa michezo...

RUTO ATAJA UWEKEZAJI WA KENYA TANZANIA KUFIKIA DOLA BILIONI 1.7, AONYA URASIMU MIPAKANI

Rais wa William Ruto amesema kuwa takribani kampuni 500 kutoka Kenya zimewekeza jumla ya dola za Marekani bilioni...

RUTO ASISITIZA USHIRIKIANO WA EAC NI UFUNGUO WA KUKUZA BIASHARA NA AJIRA KWA WANANCHI

Rais wa William Ruto amesema nchi za Afrika Mashariki zina fursa kubwa ya kuongeza biashara ya ndani na...