MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
MCHOKONOZI
MSALABA wa mema na mabaya katika Taifa letu kwa sasa upo mabegani mwa Raisi Samia Suluhu Hassan bila kujali mema na mabaya hayo yalipandikizwa lini,...
RIPOTI MAALUMU (6)
CHARLES MULLINDA
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora iliyochunguza tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka zilizomkabili Naibu Waziri wa Mifugo na...
ABDUL NONDO
Miswada mitatu imesomwa kwa mara ya kwanza kwenye mkutano wa 13 wa bunge ulimalizika Novemba, 2023 Jijini Dodoma. Miswada hiyo ni wa sheria...
MCHOKONOZI
CHARLES MULLINDA
KUNA ya vita ya manyani inayopiganwa sasa hapa nchini. Ni vita ya nyani kuchekana maumbile yao ya nyuma. Maumbile ya nyani hayatofautiani...
MCHOKONOZI
CHARLES MULLINDA
NAPE Moses Nnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, ninakuandikia waraka huu wa Mchokonozi ili mioyo ya waandishi wa habari itakapokuwa...