MCHOKONOZI MSALABA wa mema na mabaya katika Taifa letu kwa sasa upo mabegani mwa Raisi Samia Suluhu Hassan...
SAFU MAALUM
RIPOTI MAALUMU (6) CHARLES MULLINDA TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora iliyochunguza tuhuma za matumizi...
MCHOKONOZI MOYO wangu umekaa upogo, fikra zangu zimeganda, mwili wangu umelegea, usingizi wangu umekuwa wa shida. Ninahisi...
ABDUL NONDO Miswada mitatu imesomwa kwa mara ya kwanza kwenye mkutano wa 13 wa bunge ulimalizika Novemba,...
MCHOKONOZI CHARLES MULLINDA KUNA ya vita ya manyani inayopiganwa sasa hapa nchini. Ni vita ya nyani kuchekana...
MCHOKONOZI CHARLES MULLINDA NAPE Moses Nnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, ninakuandikia waraka huu...
SIMBA GEMBAGU NG’WANA NJAMITI KILA nikikita ninakitwa. Popote ninapokita napokewa na mikito. Napokewa na mikito halisi ya...
MCHOKONOZI 0711 46 49 84 MILA, desturi na tamaduni za kiafrika zinatufundisha na kutuelekeza waafrika wadogo kiumri...
CHARLES MULLINDA KESI ya unga. Watuma maombi kwa niaba ya serikali ni wachokonozi; na wajibu maombi ni,...
NA CHARLES MULLINDA BADO sijamuona mtu wa kumfunga paka kengele ili kutanzua mtanziko uliopo sasa katika mjadala...
