MAKALA

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini dhidi ya Hull City na dakika za nyongeza za mchezo huo...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...
spot_img

POLISI WACHUNGUZA JAMHURI MEDIA KWA TUHUMA ZA KUGHUSHI

RIPOTA PANORAMA JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linachunguza tuhuma za kughushi mkataba wa ajira ilioingiwa baina ya Kampuni ya Jamhuri Media Limited na Mwandishi...

NYERERE ALIMZUIA RWEGASIRA KUWAONDOA MAKAHABA DAR ES SALAAM

FLORIAN KAIZA TANZANIA imepitia simulizi nyingi zenye kusisismua lakini hazisemwi sana kwenye vyombo vya habari hivyo vizazi vya sasa na vijavyo havijui na havitajua mambo...

NONDO: MUSWADA WA MABADILIKO YA SHERIA YA UCHAGUZI- Wafungwa, mahabusu wapige kura

ABDUL NONDO Miswada mitatu imesomwa kwa mara ya kwanza kwenye mkutano wa 13 wa bunge uliomalizika Novemba, 2023 Jijini Dodoma. Miswada hiyo ni wa sheria...

KWA HAYA YA MAKONDA, KWANINI TUSISEME ‘HAPANA?’

NDIMARA TEGAMBWAGE 10 Novemba 2023 WOGA na ujinga ni tabia mbili chafu na hatari. Anayofanya Paul Makonda na matokeo yake ni ushahidi wa hili. Bwana mdogo huyu...

UJERUMANI YAWAANGUKIA WATANZANIA

*Yawaomba radhi kwa ukatili iliofanya Vita ya Majimaji RIPOTA PANORAMA UJERUMANI imewaangukia watanzania ikiwaomba radhi kwa ukatili iliofanya wakati wa Vita ya Majimaji iliyopiganwa kuanzia mwaka...

TANAPA ‘YATAFUNA’ BILIONI 1.95, CAG ATAKA ZIRUDISHWE

RIPOTA PANORAMA SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA), limetakiwa kurejesha Shilingi bilioni 1.95 ambazo ukaguzi wa matumizi yake haukuthibitika. Aliyependekeza fedha hizo zirejeshwe ni Mdhibiti na...
spot_img