LONDON, Uingereza
NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini dhidi ya Hull City na dakika za nyongeza za mchezo huo...
BUBERWA KAIZA
WATANZANIA na viongozi wetu kuna jambo lolote tulilojifunza kuhusu nafasi ya raia wenyewe kubuni na kuasisi sera na mipango yao ya maendeleo? Uko wapi...
TERESIA MHAGAMAWIZARA ya Nishati na taasisi zilizo chini yake imeshiriki maadhimisho ya wiki ya utumishi yaliyoanza Juni 16 Juni 2024 katika viwanja vya Chinangali, Jijini Dodoma.
Maadhimisho...
RIPOTA PANORAMA
BUNGE limeelezwa kuwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipaswa kujiuzulu wadhfa wake wa uwaziri mkuu kwa kushindwa kumudu majukumu yake.
Kauli kuwa Waziri Mkuu Majaliwa...
RIPOTA PANORAMA
KITITA kipya cha Bima ya Afya (NHIF) kilichopitishwa kwa kutumia kiwango cha chini cha orodha ya bidhaa kuamua huduma ya dawa katika kitita...
RIPOTA PANORAMA
CHAMA cha Wafamasia Tanzania (PST), kimeeleza kuwa mabadiliko ya bei ya kitita cha Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF), hayataiwezesha kusimama imara.
PST kimeeleza...
DET’U KAKELAKAMBUZI
MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) umewezesha kuachiwa kwa dhamana, Mwandishi wa Habari Kazimbaya Makwega aliyekuwa akishikiliwa Kituo cha Polisi Kati...