Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...
MASHIRIKA YA HABARI
VATICAN
Kardinali Joseph Aloisius Ratzinger ambaye ndiye Papa Benedicto wa XVI, ameumaliza mwendo, amepigana vita vilivyo vizuri, imani ameilinda.
Papa Mstaafu Benedicto XVI aliyekuwa...
RIPOTA PANORAMA
WAKATI Shirika la Ndege la Kenya likiendelea kujiimarisha kwenye uwekezaji na kuongeza idadi ya ndege, taarifa kutoka Ofisi ya Hazina ya Taifa hilo...
SEOUL, KOREA KUSINI
WATU 151wamefariki dunia katika mkanyagano uliotokea wakati wa sherehe za Halloween mjini Seoul, Korea Kusini.
Vifo hivyo vimetokea Jumamosi Oktoba 29, 2022 usiku...
CONGO, DRC
JAMHURIi ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imemfukuza balozi wa Rwanda nchini humo, Vincent Karega huku ikimpa saa 48 kuondoka nchini humo.
Hatua hiyo inakuja...
MOGADISHU, SOMALIA
MJI mkuu wa Somalia Mogadishu umekumbwa na milipuko miwili mchana huu.
Moshi mweupe unaweza kuonekana ukifuka karibu na ofisi za Wizara ya Mambo ya...
MOSCOW, URUSI
URUSI imeishutumu Ukraine kwa kufanya shambulizi "kubwa" la ndege zisizo na rubani kwenye makao makuu ya Meli zake katika Bahari Nyeusi mji wa...