RIPOTI MAALUM

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

HATUA 10 ZA NHC KUELEKEA UFANISI WA MALENGO 2022/2023

SHIRIKA la Nyumba na Taifa (NHC) limetangaza mwelekeo wa utekelezaji wa majukumu yake kwa mwaka 2022/23 utakaoliwezesha kuongeza mapato yake na kutoa huduma bora...

RAIS SAMIA NA MTANZIKO WA KATIBA MPYA

CHARLES MULLINDA TAIFA lina kiu ya Katiba Mpya ambayo sasa kuna kila dalili kuwa, Rais Samia Suluhu Hassan atatanzua mtanziko wa upatikanaji wake. Dalili kuwa Rais...

JINSI SERIKALI ILIVYOPORWA MALI ZA UMMA (2)

RIPOTI MAALUMU (2) SKANDALI ya kuporwa kwa mali za umma kisha kutumiwa kuchukua mkopo wa mabilioni ya fedha kwenye Benki ya NBC; na Serikali kukiri...

JINSI SERIKALI ILIVYOPORWA MALI ZA UMMA (1)

RIPOTI MAALUMU RIPOTA PANORAMA SKANDALI ya kuporwa kwa mali za umma kisha kutumiwa kuchukua mkopo wa mabilioni ya fedha kwenye Benki ya NBC; na Serikali kukiri...

POMBE YA MNAZI INA MADINI, PROTINI, HULAINISHA NYWELE NA NGOZI

RIPOTA MAALUMU POMBE ya mnazi imetajwa kuwa na Madini ya Zinki na Magnesiamu, pia protini, wanga, Asidi ya Amino na Vitamini B3 na C, hulainisha...

TANROADS YATEKELEZA VIPAUMBELE VYA 2022/2023

KAZI ya utekelezaji wa vipaumbele na majukumu ya Wakala wa Barabara (TANROADS) kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023 inaendelea kwa kasi kama ilivyoainishwa kwenye...
spot_img