Michezo Kimataifa

MIAKA SITA YA MAPENZI, DAKIKA CHACHE ZA VIPIMO NA UAMUZI MGUMU ULIOFUTA NDOTO YA HARUSI

Kisa kinachosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kuhusu wapenzi waliodumu kwenye uhusiano kwa miaka sita lakini wakaamua kuachana baada ya kugundua wote wana genotype AS kimezua mjadala mpana...

SANDRO TONALI ATIMKIA TOTTENHAM KWA UHAMISHO WA KUDUMU

Klabu ya Newcastle United imetangaza rasmi kuondoka kwa kiungo wa Italia, Sandro Tonali, ambaye amejiunga na Tottenham Hotspur...

LEO BAPTISTAO AONGEZA MKATABA WAKE UD ALMERÍA

Klabu ya UD Almería imethibitisha kuwa mshambuliaji wa Brazil, Leo Baptistao, ataendelea kuitumikia timu hiyo baada ya kuongeza...

SEBASTIÁN ARÉ AJIUNGA NA SANFRECCE HIROSHIMA KWA MKATABA WA KUDUMU

Klabu ya Sanfrecce Hiroshima ya Ligi Kuu ya Japan (J1 League) imetangaza rasmi usajili wa mshambuliaji Sebastián Aré...

ATLÉTICO MADRID YAMKARIBISHA DILI LA KING-IN LEE KWA EURO MILIONI 40

Klabu ya Atlético Madrid imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Kang-in Lee kutoka Paris Saint-Germain (PSG) katika dirisha...
spot_img

BAYERN YAFIKIA MAKUBALIANO YA AWALI NA ISMAEL SAIBARI

‎Klabu ya Bayern Munich imepiga hatua kubwa katika harakati za kumsajili kiungo mshambuliaji wa PSV Eindhoven, Ismael Saibari, baada ya kufikia makubaliano ya awali...

SENEGAL YAITIBULIA TANZANIA UBINGWA WA AFCON U-17 KWA PENATI

Ndoto ya Serengeti Boys kutwaa taji lao la kwanza la Afrika imegonga mwamba baada ya kufungwa kwa mikwaju ya penati 4-2 na Senegal katika...

DENZEL DUMFRIES AKARIBIA KUJIUNGA NA REAL MADRID

‎Klabu ya Real Madrid imefikia hatua ya mwisho katika harakati za kumsajili beki wa kulia Denzel Dumfries kutoka Inter Milan, kulingana na taarifa iliyosambazwa...

TIMU YA TAIFA YA MALI YAANZA MAANDALIZI YA MCHEZO WA KIRAFIKI DHIDI YA IRAN

‎Timu ya taifa ya Mali, maarufu kama Les Aigles du Mali (Tai wa Mali), imeanza rasmi maandalizi yake kwa mchezo wa kirafiki wa kimataifa...

TOTTENHAM WAMKARIBISHA SAVINHO KUTOKA MANCHESTER CITY

‎Klabu ya Tottenham Hotspur imepiga hatua kubwa katika harakati za kumsajili Sávio Moreira de Oliveira kutoka Manchester City wakati wa dirisha hili la usajili.‎‎Kwa...

‎ MYLES GARRETT AKARIBIA KUJUNGA NA LOS ANGELES RAMS

‎Taarifa kutoka vyanzo vya ndani vya NFL zinaeleza kuwa timu ya Cleveland Browns ipo karibu kukamilisha makubaliano ya kumhamisha nyota wake wa safu ya...
spot_img