Michezo Kimataifa

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini dhidi ya Hull City na dakika za nyongeza za mchezo huo...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...
spot_img

KINDA WA SOKA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI

ACCRA, Ghana NYOTA wa kabumbu mwenye umri wa miaka 20 nchini Ghana ameuawa baada ya watu wasiojulikana kuvamia na kulishambulia kwa risasi basi la timu...

SHABIKI KUISHITAKI ARSENAL KWA KUMSABABISHIA ‘STRESS’

KAMPALA, Uganda SHABIKI wa Arsenal raia wa Uganda, Eric Kyama, anajiandaa kuifungulia mashitaka klabu hiyo kwa kile alichodai imemsababishia changamoto za kisaikolojia, hasa huzuni na...

HII HAPA ORODHA YA MAKOCHA WA SOKA MATAJIRI ZAIDI DUNIANI

LONDON, Uingereza SOKA ndiyo mchezo unaopendwa na kufutatiliwa zaidi duniani, hiyo ikisababisha wachezaji na makocha kuishi kifahari kutokana na fedha nyingi wanazovuna. Katika makala haya, hawa...

SHEARER AITABIRIA KIPIGO CHELSEA

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Newcastle United, Alan Shearer, anaamini Manchester City itaibuka na ushindi katika mchezo wao dhidi ya Chelsea. Timu hizo zitaumana kesho Aprili 12,...

ROBERTSON KUTIMKIA WAPI AKIONDOKA LIVERPOOL?

MERSEYSIDE, Uingereza BAADA ya beki wa kushoto Andy Robertson kuthibitisha kuwa ataondoka Liverpool mwishoni mwa msimu huu, klabu kadhaa barani Ulaya zimeanza kujipanga kuwania saini...

ALIYEITUNGUA ARSENAL AWINDWA MAN UNITED

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United inampigia hesabu kali kiungo wa Southampton, Shea Charles. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22, ndiye aliyefunga bao la ushindi...
spot_img