Kisa kinachosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kuhusu wapenzi waliodumu kwenye uhusiano kwa miaka sita lakini wakaamua kuachana baada ya kugundua wote wana genotype AS kimezua mjadala mpana...
Klabu ya Manchester United imeendelea kumfuatilia kwa karibu kiungo wa Ureno Mateus Fernandes huku ikitajwa kuwa miongoni mwa vilabu vinavyotaka kumsajili katika dirisha lijalo...
Rais wa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF), Hussein Mohammed, ameungana na wachezaji, makocha, waamuzi wa mechi pamoja na wadau mbalimbali wa soka katika...
Klabu ya Beşiktaş ya Uturuki imefikia makubaliano na kocha raia wa Italia, Vincenzo Italiano, kumteua kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo kwa mkataba...
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetangaza kuwa limekusanya kundi la wasanii mashuhuri wa muziki kutoka sehemu mbalimbali za dunia kwa ajili ya Albamu Rasmi...
Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amesema kuwa mpira wa miguu una uwezo mkubwa wa kuunganisha watu na kuleta mabadiliko chanya katika jamii. Kupitia ushirikiano...
Mgombea urais wa klabu ya Real Madrid, Enrique Riquelme, ameibua mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki baada ya kutangaza kuwa kiungo nyota wa Hispania, Rodri,...