LONDON, Uingereza
NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini dhidi ya Hull City na dakika za nyongeza za mchezo huo...
LONDON, UingerezaZIPO taarifa kuwa kocha wa zamani wa Chelsea, Frank Lampard, aanawindwa na mabosi wa klabu ya Bournemouth ya Ligi Kuu ya England (EPL).
Bournemouth...
MERSEYSIDE, UingerezaKICHAPO cha mabao 2-0 kutoka kwa PSG kimeongeza presha kwa kocha wa Liverpool, Arne Slot, ikielezwa kuwa huenda Mholanzi huyo akafungashiwa virago hivi...
MADRID, Hispania
LICHA ya Barcelona kung'olewa Ligi ya Mabingwa Ulaya, kinda wake wa safu ya ushambuliaji, Lamine Yamal, ameitumia mechi yao dhidi ya Atletico Madrid...
London, Uingereza
Klabu ya Chelsea imeendelea kuonyesha nia ya dhati ya kumsajili kiungo wa pembeni wa FC Porto, William Gomes, huku taarifa zikieleza kuwa maskauti...
LONDON, Uingereza
SAINI ya beki wa kushoto wa Newcastle United, Lewis Hall, inawindwa na klabu kadhaa kubwa za Ulaya, zikiwemo za Ligi Kuu ya England...
ACCRA, Ghana
ALIYEWAHI kuwa kocha msaidizi wa Manchester United wakati ule wa Alex Ferguson, Carlos Queiroz, amekabidhiwa mikoba ya kuinoa timu ya Taifa ya Ghana...