Michezo Kimataifa

MIAKA SITA YA MAPENZI, DAKIKA CHACHE ZA VIPIMO NA UAMUZI MGUMU ULIOFUTA NDOTO YA HARUSI

Kisa kinachosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kuhusu wapenzi waliodumu kwenye uhusiano kwa miaka sita lakini wakaamua kuachana baada ya kugundua wote wana genotype AS kimezua mjadala mpana...

SANDRO TONALI ATIMKIA TOTTENHAM KWA UHAMISHO WA KUDUMU

Klabu ya Newcastle United imetangaza rasmi kuondoka kwa kiungo wa Italia, Sandro Tonali, ambaye amejiunga na Tottenham Hotspur...

LEO BAPTISTAO AONGEZA MKATABA WAKE UD ALMERÍA

Klabu ya UD Almería imethibitisha kuwa mshambuliaji wa Brazil, Leo Baptistao, ataendelea kuitumikia timu hiyo baada ya kuongeza...

SEBASTIÁN ARÉ AJIUNGA NA SANFRECCE HIROSHIMA KWA MKATABA WA KUDUMU

Klabu ya Sanfrecce Hiroshima ya Ligi Kuu ya Japan (J1 League) imetangaza rasmi usajili wa mshambuliaji Sebastián Aré...

ATLÉTICO MADRID YAMKARIBISHA DILI LA KING-IN LEE KWA EURO MILIONI 40

Klabu ya Atlético Madrid imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Kang-in Lee kutoka Paris Saint-Germain (PSG) katika dirisha...
spot_img

MANCHRSTER UNITED WAMUWANIA MATEUS FERNANDES,WEST HAM WAPANGA BEI YA PAUNI MILIONI 85

‎Klabu ya Manchester United imeendelea kumfuatilia kwa karibu kiungo wa Ureno Mateus Fernandes huku ikitajwa kuwa miongoni mwa vilabu vinavyotaka kumsajili katika dirisha lijalo...

FKF YAWAPONGEZA WASHINDI WA TUZO ZA SPORTPESA LEAGUE 2025/2026

‎Rais wa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF), Hussein Mohammed, ameungana na wachezaji, makocha, waamuzi wa mechi pamoja na wadau mbalimbali wa soka katika...

BESIKTAS YAMTANGAZA VINCENZO WA ITALIANO KUWA KOCHA MKUU MPYA

‎Klabu ya Beşiktaş ya Uturuki imefikia makubaliano na kocha raia wa Italia, Vincenzo Italiano, kumteua kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo kwa mkataba...

‎FIFA YA TANGAZA ALBAMU YA KOMBE LA DUNIA 2026

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetangaza kuwa limekusanya kundi la wasanii mashuhuri wa muziki kutoka sehemu mbalimbali za dunia kwa ajili ya Albamu Rasmi...

FIFA KUSHIRIKIANA NA WASHIRIKA KUSAIDIA WANAJESHI KUHUDHURIA KOMBE LA DUNIA 2026

‎Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amesema kuwa mpira wa miguu una uwezo mkubwa wa kuunganisha watu na kuleta mabadiliko chanya katika jamii.‎‎ Kupitia ushirikiano...

MGOMBEA URAIS REAL MADRID AAHIDI KUMSAJILI RODRI NA KUMLETA KOCHA WA VIWANGO

‎Mgombea urais wa klabu ya Real Madrid, Enrique Riquelme, ameibua mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki baada ya kutangaza kuwa kiungo nyota wa Hispania, Rodri,...
spot_img