Kisa kinachosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kuhusu wapenzi waliodumu kwenye uhusiano kwa miaka sita lakini wakaamua kuachana baada ya kugundua wote wana genotype AS kimezua mjadala mpana...
CAPE TOWN, Afrika Kusini
MWANARIADHA wa mbio ndefu raia wa Kenya, Eliud Kipchoge, ameeleza kuumizwa kwake na kitendo cha Tottenham kuwa hatarini kushuka daraja msimu...
MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu...
LONDON, UingerezaBAADA ya Andoni Iraola kutangaza kuwa ataondoka Bournemouth, ameingia kwenye orodha ya makocha wa Ligi Kuu ya England (EPL) wanaoweza kuziacha klabu zao...
LONDON, UingerezaZIPO taarifa kuwa kocha wa zamani wa Chelsea, Frank Lampard, aanawindwa na mabosi wa klabu ya Bournemouth ya Ligi Kuu ya England (EPL).
Bournemouth...
MERSEYSIDE, UingerezaKICHAPO cha mabao 2-0 kutoka kwa PSG kimeongeza presha kwa kocha wa Liverpool, Arne Slot, ikielezwa kuwa huenda Mholanzi huyo akafungashiwa virago hivi...
MADRID, Hispania
LICHA ya Barcelona kung'olewa Ligi ya Mabingwa Ulaya, kinda wake wa safu ya ushambuliaji, Lamine Yamal, ameitumia mechi yao dhidi ya Atletico Madrid...