LAMPARD KUPEWA KIBARUA BOURNEMOUTH?

Date:

Share post:

LONDON, Uingereza
ZIPO taarifa kuwa kocha wa zamani wa Chelsea, Frank Lampard, aanawindwa na mabosi wa klabu ya Bournemouth ya Ligi Kuu ya England (EPL).

Bournemouth wanasaka kocha wa kuliongoza benchi la ufundi baada ya Andoni Iraola kusema ataachia ngazi mwishoni mwa msimu huu.

Lampard amekuwa na mafanikio makubwa tangu alipoanza kuinoa Coventry City, akiifanya timu hiyo kuwa tishio Ligi Daraja la Kwanza England (Championship).

Timu yake hiyo iko kileleni mwa msimamo wa Championship kwa tofauti ya pointi 10, zikiwepo dalili zote za kutwaa ubingwa wao wa kwanza baada ya miaka 25 kupita.

Makocha wengine wanaotajwa kuingia kwenye rada za klabu hiyo ni Kieran McKenna, Marco Rose na Inigo Martinez.

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...