Michezo Kimataifa

MIAKA SITA YA MAPENZI, DAKIKA CHACHE ZA VIPIMO NA UAMUZI MGUMU ULIOFUTA NDOTO YA HARUSI

Kisa kinachosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kuhusu wapenzi waliodumu kwenye uhusiano kwa miaka sita lakini wakaamua kuachana baada ya kugundua wote wana genotype AS kimezua mjadala mpana...

SANDRO TONALI ATIMKIA TOTTENHAM KWA UHAMISHO WA KUDUMU

Klabu ya Newcastle United imetangaza rasmi kuondoka kwa kiungo wa Italia, Sandro Tonali, ambaye amejiunga na Tottenham Hotspur...

LEO BAPTISTAO AONGEZA MKATABA WAKE UD ALMERÍA

Klabu ya UD Almería imethibitisha kuwa mshambuliaji wa Brazil, Leo Baptistao, ataendelea kuitumikia timu hiyo baada ya kuongeza...

SEBASTIÁN ARÉ AJIUNGA NA SANFRECCE HIROSHIMA KWA MKATABA WA KUDUMU

Klabu ya Sanfrecce Hiroshima ya Ligi Kuu ya Japan (J1 League) imetangaza rasmi usajili wa mshambuliaji Sebastián Aré...

ATLÉTICO MADRID YAMKARIBISHA DILI LA KING-IN LEE KWA EURO MILIONI 40

Klabu ya Atlético Madrid imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Kang-in Lee kutoka Paris Saint-Germain (PSG) katika dirisha...
spot_img

MOURINHO AFUNGUKA KURUDI REAL MADRID

MADRID, HispaniaKOCHA wa Real Madrid, Jose Mourinho, amesema kwa sasa akili yake iko Benfica na si Real Madrid anayohusishwa nayo. Madrid inatajwa kumtaka Mourinho ili...

PETIT AITAKA CHELSEA KUMSAJILI OSIMHEN

LONDON, UingerezaKIUNGO wa zamani wa Chelsea, Emmanuel Petit, ameishauri klabu hiyo kumsajili mpachikaji mabao wa Galatasaray raia wa Nigeria, Victor Osimhen. Chelsea imekuwa haina bahati...

BAYERN HAINA MPANGO NA RASHFORD

MUNICH, UjerumaniMABOSI wa klabu ya Bayern Munich hawafikirii kumsajili mshambuliaji wa Manchester United anayecheza kwa mkopo Barcelona, Marcus Rashford. Rashford (28), amekuwa na kiwango bora...

MABEKI WA KATI WANAOWINDWA REAL MADRID

MADRID, HispaniaKWA sasa, Real Madrid inahusishwa na usajili wa beki wa kati katika dirish kubwa la kiangazi, mwishoni mwa msimu huu. Uhitaji huo unatokana na...

PSG YAILAZA BAYERN MUNICH BAO 5-4 FAINALI YA KWANZA LIGI YA MABINGWA ULAYA

Klabu ya Paris Saint‑Germain ya Ufaransa imeipiga Bayern Munich ya Ujerumani 5-4 katika raundi ya kwanza ya mchezo wao wa Nusu Fainali, Ligi ya...

RAIS ALIKATAA MESSI KURUDI BARCELONA

CATALUNYA, Hispania KOCHA wa zamani wa Barcelona, Xavi, amefichua kuwa alikaribia kumrejesha Lionel Messi lakini Rais wa klabu hiyo, Joan Laporta, alikataa mpango huo. Xavi anazungumzia...
spot_img