MOURINHO AFUNGUKA KURUDI REAL MADRID

Date:

Share post:

MADRID, Hispania
KOCHA wa Real Madrid, Jose Mourinho, amesema kwa sasa akili yake iko Benfica na si Real Madrid anayohusishwa nayo.

Madrid inatajwa kumtaka Mourinho ili aiongoze timu hiyo msimu ujao. Alvaro Arbeloa ni kocha wa muda na anatarajiwa kuachia ngazi mwishoni mwa msimu huu.

Raia wa Madrid, Florentino Perez, anatajwa kuwa ni shabiki mkubwa wa Jose Mourinho na anataka kumrejesha kwenye benchi la ufundi.

Kwa upande wake, Mourinho amesema hajapokea ofa ya Madrid, zaidi ya kusikia tetesi kwenye vyombo vya habari.

“Hakuna mwakilishi wa Real Madrid niliyezungumza naye. Nawahakikishia hilo. Nimekuwa kwenye soka kwa miaka mingi, nimezoea tetesi za aina hii,” amesema.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

NAMIBIA YA MALIZA DENI LA IMF

Rais wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, ameiongoza nchi yake kufikia hatua muhimu ya kiuchumi baada ya kukamilisha malipo yote...

SERIKALI KUONGEZA UWEKEZAJI KWA WAKUNGA KUIMARISHA AFYA YA MAMA NA MTOTO NCHINI

Serikali kupitia Wizara ya Afya imejipanga kuendelea kuongeza uwekezaji katika mafunzo, ajira, motisha na mazingira ya kazi kwa...

POLISI KUENDELEA KUDHIBITI WAZUSHI MITANDAONI, LIKIIMARISHA ULINZI KUELEKEA DERBY YA SIMBA NA YANGA

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa taarifa ya matukio mbalimbali ya kiusalama na kisheria,...

DKT. SAMIA AFANYA UTEUZI, UTENGUZI NA UHAMISHO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa baadhi...