Uncategorized

MWENGE WAANGAZA MATUMAINI YA AJIRA KWA VIJANA MKURANGA

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026, Wazo Mwang’onda, amezindua mradi wa basi dogo unaoendeshwa na vijana wa kikundi cha UNAMA katika kijiji cha Picha ya Ndege,...

DKT MWIGULU AONGOZA KIKAO CHA MAWAZIRI WA BARA NA VISIWANI KUJADILI MUUNGANO

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameongoza Kikao cha Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na...

RAIS SAMIA AZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI BAHARI KUU JIJINI DAR ES SALAAM

Rais Samia amezindua meli hiyo leo Aprili 25,2026 kwenye ufukwe wa Makao Makuu ya Shirika la Uvuvi nchini...

TANAPA YAZIDI KUJIIMARISHA KIUTENDAJI, YAAPISHA MAKAMISHNA WAPYA WA UHIFADHI JIJINI DODOMA

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) linaendelea kuimarisha mfumo wake wa uongozi na utendaji kazi kwa kuwapandisha...

JELA MIAKA 30 KWA KUPATIKANA NA BANGI

MAHAKAMA ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya imemhukumu Brown Frank Mwaitubi (31), mkazi wa Kajunjumele, kifungo cha miaka...
spot_img

DC MURRO- ARUMERU SI SEHEMU SALAMA KWA WAHALIFU

NA MWANDISHI WETU MKUU wa Wilaya ya Arumeru (DC) mkoani Arusha, Jerry Murro amesema eneo la kiutawala la wilaya yake si sehemu salamu...

LISSU, CHADEMA NA SIRI YA KIVULI CHA MAUTI

  NA CHARLES MULLINDA KUNA mijadala mingi inayoendelea kuhusu kushambuliwa na Serikali na Bunge kumtelekeza kwa kutomlipia gharama za matibabu, mgombea urais wa Chama...

WARAKA WA VIJANA WA ACT WAZALENDO KWA ZITTO, MEMBE

 Mgombea urais wa ACT ni Zitto au Membe  SISI Vijana wa ACT kutoka mikoa mbalimbali tunaendelea kusikitishwa na mwenendo wa uendeshaji wa chama chetu...

TUMEMSAHAU MTEMI MILAMBO NA KISIMA CHAKE

 NA GEORGINA ROESER HISTORIA ya Tanzania ina mashujaa wake. Mtemi Milambo wa Wanyamwezi ni miongoni mwa mashujaa wa Taifa letu ambaye historia yake tumeienzi...

TANZANIA INUNUE PETROLI IWEKE AKIBA

 NA GEORGINA ROESER BEI ya Petroli iimeshuka. Iko chini sana karibu duniani kote. Hii ilitokana na uzalishwaji mkubwa wa mafuta huko Urusi na Saudi...

VITA YA KAGERA ALAMA YA UMOJA NA UZALENDO WA MTANZANIA

 NA GEORGINA ROESER NIMEMALIZA kuangalia kipindi maalumu cha vita ya Kagera kilichorushwa na Televisheni ya Taifa (TBC). Ni kipindi chenye matukio mengi ya kujifunza...
spot_img