LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya vigogo Manchester United, Arsenal, Chelsea, Liverpool na Manchester City.
Kwa sasa, Leicester...
WAKALA wa Ndege za Serikali (TGFA) imetengewa Shilingi bilioni 11.4 kwa ajili ya kuboresha huduma zake.
Akizungumza na Menejimenti ya TGFA jana wakati wa ziara...
RIPOTA PANORAMA
Wananchi wa Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma wameiomba Serikali isaidie kuwapatia wataalam wa miamba watakaotafiti na kubainisha kiasi cha madini yaliyogundulika katika maeneo...
RIPOTA PANORAMA
NAIBU Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo amesema Serika itaboresha mazingira ya uwekezaji wa Madini ya Nickel yanayopatikana Wiaya ya Ngara mkoani Kagera ili...
RIPOTA PANORAMA
WAASISI wawili wa Chama cha ACT- Wazelendo na viongozi waandamizi kumi wamekipa kisogo chama hicho wakikiacha mikononi mwa Kiongozi Mkuu, Zitto Kabwe wanayemtuhumu...
RIPOTA PANORAMA
WATANZANIA 14 waliokamatwa na madawa ya kulevya katika nchi mbalimbali duniani wamenyongwa hadi kufa.
Sambamba na hao, Watanzania wengine 12 waliokamatwa kwa makosa ya...
TAASISI tatu zilizoko chini ya Wizara ya Kilimo, zimeridhishwa na uwekezaji unaofanywa na Kampuni ya Global Agency katika kuhakikisha inazalisha mbegu bora za mahindi,...