MICHEZO
YANGA VS SIMBA NI DERBY YA HESHIMA NA UBABE
MWANDISHI WETU
ZANZIBAR:
MSEMAO wa 'mtani hutoki leo' umekuwa maarufu nje ya Uwanja wa Amani, Visiwani Zanzibar ambapo mashabiki mbalimbali wa Yanga na Simba wamekuwa wakitumia msemo huo kila walipotambiana kabla...
MICHEZO
MWANAFUNZI AFARIKI AKICHEZA MPIRA
TANGA
MWANAFUNZI wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Chief Mang'enya iliyopo Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga, Abdallah Msenga amefariki dunia baada ya kugongana...
MICHEZO
SIMBA KUFANYA USAJILI WA KIMKAKATI
UONGOZI wa Klabu ya Simba, umepanga kufanya usajili wa wachezaji wapya kwa kimkakati ili waweze kutimiza ndoto yao ya kutwaa ubingwa wa Ligi...
MICHEZO
YANGA YAIWAHI SIMBA KWA MUDATHIR ASAINI
SIMBA wameambulia patupu, baada ya kiungo wa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga, Yahaya Mudathir, kusaini mkataba wa miaka miwili wa kuendelea...
MICHEZO
KOCHA ALIYEKUFUZWA YANGA, AOMBA KURUDI
KOCHA mkuu wa zamani wa Yanga, Mbelgiji Tom Saintfiet, ni miongoni mwa makocha watano walioomba kibarua cha kuifundisha timu hiyo, kwa ajili ya msimu...
MICHEZO
UBINGWA WA WAVU KUANZA KUSAKWA JULAI 25
MZUNGUKO wa kwanza wa Ligi ya Taifa ya Mpira wa Wavu unatarajiwa kuanza Julai 25, mwaka huu, kwenye viwanja wa Mwembe Yanga, Temeke, jijini...
MICHEZO
KIKOSI CHA KUOGELEA CHATAJWA HADHARANI
KIKOSI cha Tanzania cha Kuogelea kimetajwa hadharani kwa ajili ya kujiandaa na michuano ya 'Africa Acquatics', Kanda ya 3, iliyopangwa kufanyika Oktoba 16-19, mwaka...
MICHEZO
TWIGA STARS YAPIGWA WAFCON
Bao la kiungo mshambuliaji wa Mali, Saratou Traore, lilitosha kuipa ushindi dhidi ya kikosi cha wanawake wa Tanzania, 'Twiga Stars' katika michezo wa michuano...
MICHEZO
MTIBWA SUGAR KULETA KOCHA MPYA
UONGOZI wa klabu ya Mtibwa Sugar, umesema unatarajia kumwajiri kocha mkuu mpya ili aweze kukifundisha kikosi chao cha msimu ujao.
Mtibwa Sugar wamerejea Ligi...
MICHEZO
OKWI AIBUKA USAJILI MPYA SIMBA
MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya Simba, Mganda Emmanuel Okwi, amemuibua beki wa kikosi hicho, Fikiri Magoso, baada ya kumtaja katika...
MICHEZO
TWIGA STARS,MALI KAZI MOJA
Timu ya Tanzania ya Wanawake 'Twiga Stars' leo inatarajia kushuka uwanjani kumenyana na Mali ukiwa ni mchezo wa kwanza wa kuwania ubingwa Afrika (WAFCON)...

