Tag: MIKITO

spot_imgspot_img

MOYO WANGU USILIE TENA

NA JOSEPH SHALUWA Email: joeshaluwa@gmail.com Simu: 0718-400146 Facebook @Joseph Shaluwa Instagram @joeshaluwa HANA haraka anapotembea, ukimtazama anaonekana kujiamini sana. Tabasamu mwanana linaupamba uso wake lakini mavazi yake yanaonesha...

ANAKITWA ANAKITA KUJIKITA MZEE MIKITO

Simba Gembagu Ngw’ana Njamiti KUKITWA ni kukitwa na kukita ni kukita. Kukita na kukitwa sasa ni fasheni, mikito imekuwa sehemu ya maisha. Imekuwa kita nikukite, umekuwa...

NI MIKITO YA KASWIDA NA MAPAMBIO

Simba Gembagu Ngw’ana Njamiti MIKITO ni kukita na kukita ni kukitwa. Huo ndiyo mwenendo wetu watanzania wa zama hizi za bora liende. Kila mahali ni mikito,...

WANAKITA KIZULU, NINAKITA KISWANGLISH

Simba Gembagu Ngw’ana Njamiti NIMEKUTANA wa Wazulu, nimekutana nao nchini kwao huku bondeni kwa mzee Madiba. Lakini mzee Madiba anaumwa sana, tumuombee. Wazulu, kama walivyo waafrika...

NAPE ANAMKITA WARIOBA KUMBEMBELEZA KIKWETE

Simba Gembagu Ngw’ana Njamiti NAPE Moses Nnauye, mwanasiasa kijana aliyepachikwa jina la utani la Kitatange, katika ukitatange wake amekuwa akimkita kwa staili wa kumbembeleza bosi...

NDANI GIZA NJE MIMBA

Na Simba Gembagu Ng’wana Njamiti Kila nikikita ninakitwa. Popote ninapokita napokewa na mikito. Napokewa na mikito halisi ya kitanzania inayonikita. Ninakita ili...