SAM NUJOMA AFARIKI DUNIA

Date:

Share post:

RIPOTA PANORAMA

RAIS wa kwanza wa Namibia, Sam Nujoma amefariki duniani leo akiwa na umri wa miaka 95.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Windhoek, Nujoma amefariki dunia akiwa hospitalini alikokuwa amelazwa kwa muda wa wiki tatu.

Akitangaza kifo hicho, Rais wa Namibia, Nangolo Mbumba amesema mauti yalimkuta Najumo katika Mji Mkuu wa Namibia, Windhoek.

Nujoma aliongoza vita vya kudai uhuru wa Namibia ambao ulipatikana mwaka 1990 na yeye kuwa rais wa nchi hiyo pia mwenyekiti wa Chama cha South West People Organisation (Swapo.)

Alikuwa Rais wa Namibia kuanzia mwaka 1990 hadi 2005 alipong’atuka na kubaki kuwa Mwenyekiti wa Swapo hadi mwaka 2007 alipong’atuka akiwa amekiongoza chama hicho kwa muda wa miaka 47.

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...