JWTZ LAANDAA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA NA UMOJA WA MATAIFA

Date:

Share post:

RIPOTA PANORAMA

JESHI la Ulinzi (JWTZ) limeandaa semina itakayoshirikisha Umoja wa Mataifa (UN) na wafanyabiasha wa Tanzania inayotarajiwa kufanyika kwa muda wa siku mbili jijini Dar es Salaam.

Taarifa fupi kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Gervas Ilonda imeeleza kuwa semina hiyo itafanyika kwa muda wa siku mbili.

Luteni Kanali Ilonda ameeleza kuwa semina hiyo itafanyikia kwenye Chuo cha Taifa cha Ulinzi kilichopo Knduchi jijini Dar es Salaam na itafunguliwa Januari 9, 2023 na kufungwa Januari 10, 2023 majira ya saa 7.30 mchana.   

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...