RAIS TRUMP ATHIBITISHA KUSHAMBULIA BOTI ZA IRAN

Date:

Share post:

WASHINGTON DC, Marekani

RAIS Donald Trump amesema Marekani imezishambulia boti mbili za Iran katika Mlango-Bahari wa Hormuz.

Mkondo-Bahari huo wa Hormuz umekuwa sehemu muhimu ya mgogoro kati ya Iran na mahasimu wake, Marekani na Israel.

Hormuz ndiyo njia inayotumiwa kwa usafirishaji wa asilimia 20 ya rasilimali za mafuta na gesi duniani.

Aidha, hatua ya Marekani kuzishambulia boti hizo inakuja wakati Taifa hilo likiwa limeshatangaza kudhibiti meli zote zitakazokatika eneo hilo.

Wakati huo huo, jana Mei 4, 2026, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Korea Kusini nazo ziliripoti meli zake kushambuliwa.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

BAHI YA TUMIA MICHEZO KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma imezindua kampeni maalum ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kupitia mashindano...

RC MAKALLA ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA UWANJA NA BARABARA ZA AFCON ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Gabriel Makalla amesema ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa michezo...

RUTO ATAJA UWEKEZAJI WA KENYA TANZANIA KUFIKIA DOLA BILIONI 1.7, AONYA URASIMU MIPAKANI

Rais wa William Ruto amesema kuwa takribani kampuni 500 kutoka Kenya zimewekeza jumla ya dola za Marekani bilioni...

RUTO ASISITIZA USHIRIKIANO WA EAC NI UFUNGUO WA KUKUZA BIASHARA NA AJIRA KWA WANANCHI

Rais wa William Ruto amesema nchi za Afrika Mashariki zina fursa kubwa ya kuongeza biashara ya ndani na...