Saturday, 22 August 2026

Mkusanyiko wa habari

MICHEZO

SANDRO TONALI ATIMKIA TOTTENHAM KWA UHAMISHO WA KUDUMU

Klabu ya Newcastle United imetangaza rasmi kuondoka kwa kiungo wa Italia, Sandro Tonali, ambaye amejiunga na Tottenham Hotspur kwa uhamisho wa kudumu. Ingawa thamani ya uhamisho huo haijawekwa…

LEO BAPTISTAO AONGEZA MKATABA WAKE UD ALMERÍA

Klabu ya UD Almería imethibitisha kuwa mshambuliaji wa Brazil, Leo Baptistao, ataendelea kuitumikia timu hiyo baada ya kuongeza mkataba wake kwa msimu mmoja zaidi. Kupitia taarifa rasmi, Almería…

KAIZER CHIEFS WAMNASA GOLIKIPA RENALDO LEANER

Klabu ya Kaizer Chiefs imeendelea kujiimarisha kuelekea msimu mpya baada ya kukamilisha usajili wa golikipa Renaldo Leaner, ambaye anatarajiwa kuongeza ushindani na uimara katika idara ya makipa. Leaner,…

ALICHOFANYA RONALDO KIMEIFURAHISHA DUNIA

Nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameongoza tukio la kugusa hisia baada ya Portugal kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Croatia na kufuzu hatua ya 16 bora…

HIKI NDICHO KILICHOMUONDOA DUBE JANGWANI DAAH NIHURUMA

Hard Rock FC imethibitisha rasmi kukamilisha usajili wa mchezaji mpya kupitia ujumbe uliowekwa kwenye mitandao ya kijamii ukisema, “Done deal. The Prince is here.” Ujumbe huo unaashiria kuwa…

MBAYA WA WAARABU ATUA SAUDI KWA KISHINDO KAZI WANAYO

Klabu ya Al Ahli Saudi FC imemtangaza rasmi Abubacarr Kinteh kuwa mchezaji wake mpya baada ya kukamilisha usajili wake katika dirisha hili la usajili wa majira ya joto.…

WABABE WA SIMBA WAONGEZA BALAA JIPYA KUNDINI

Klabu ya CS Constantine imemtangaza rasmi Mondher Kebaier kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo baada ya kukamilisha taratibu zote za usajili na kusaini mkataba wa kuiongoza klabu…