MICHEZO

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

CHELSEA WAMTUPIA JICHO WILLIAM GOMES

London, Uingereza Klabu ya Chelsea imeendelea kuonyesha nia ya dhati ya kumsajili kiungo wa pembeni wa FC Porto, William Gomes, huku taarifa zikieleza kuwa maskauti...

BEKI NEWCASTLE ASAKWA NA VIGOGO ULAYA

LONDON, Uingereza SAINI ya beki wa kushoto wa Newcastle United, Lewis Hall, inawindwa na klabu kadhaa kubwa za Ulaya, zikiwemo za Ligi Kuu ya England...

KOCHA WA ZAMANI WA UNITED APEWA MIKOBA GHANA

ACCRA, Ghana ALIYEWAHI kuwa kocha msaidizi wa Manchester United wakati ule wa Alex Ferguson, Carlos Queiroz, amekabidhiwa mikoba ya kuinoa timu ya Taifa ya Ghana...

MKONDO WA PILI ROBO FAINALI MABINGWA ULAYA, MBIVU NA MBICHI KUANZA KUJULIKANA LEO

LONDON, UingerezaMECHI mbili za marudiano za hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya zitachezwa usiku wa leo, kabla ya zingine (2) kuchezwa...

BEAUMELLE AKIRI UGUMU WA SUNDOWNS, AWAHIMIZA WACHEZAJI WAKE KUPAMBANA

Kocha mkuu wa klabu ya Espérance Sportive de Tunis, Patrice Beaumelle, amekiri kuwa kikosi chake kinakabiliwa na changamoto kubwa kuelekea mchezo wa marudiano wa...

SAMATA AFUNGA BAO LAKE LA KWANZA LIGI YA UFARANSA

NAHODHA wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta, amefunga bao lake la kwanza katika Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) tangu ajiunge na...
spot_img