Panorama TV

RAIS WA UTURUKI AIONYA ULAYA KUHUSU IRAN

ISTANBUL, Uturuki RAIS wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, amesema vita kati ya Iran na Marekani vimeanza kulidhohofisha Bara la Ulaya. Tayyip Erdogan ameyasema hayo katika mazungumzo yake kwa njia ya simu...

ISRAEL YASHUTUMIWA MAUAJI YA MWANDISHI LEBANON

BEIRUT, Lebanon LEBANON imeishutumu Israel ikiihusisha na kifo cha mwandishi wa habari aliyeuawa katika shambulizi la anga. Amal Khalil aliuawa...

TRENI ZAGONGANA NA KUJERUHI ABIRIA 10 DENMARK

COPENHAGEN, DenmarkAJALI ya treni mbili za abiria zilizogongana imesababisha watu wanaotajwa kufikia 10 kujeruhiwa nchini Denmark. Kwa mujibu wa...

MABORESHO YA MKOA WA KATAVI KUWEKWA KWENYE GRIDI YA TAIFA YA UMEME YA KAMILIKA

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema Serikali imekamilisha kuunganisha Mkoa wa Katavi katika Gridi ya Taifa na hivyo...

WANANCHI PWANI KUNUFAIKA NA UJENZI BARABARA YA KIMANZICHANA – MSANGA

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewahakikishia wakazi wa Kimanzichana mkoani Pwani kuwa Serikali itaendelea kutoa fedha kwa ajili...
spot_img

Bandari ya Tanga sasa ina mambo mapya

Mabilioni ya fedha yaliyomwagwa na serikali kuiboresha kivifaa, mitambo na upanuzi wa magati, yameipa bandari ya Tanga, sura na uwezo mpya wa kibandari. Tanzania Panorama...

WAZIRI MKUU ZIARANI URUSI

Tizama video ya Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akiongelea changamoto ya uhaba wa mbolea nchini, wakati alipokuwa ziarani nchini Urusi https://youtu.be/0ckxA-Blzdk https://youtu.be/qSdNWWjY6qc

YAFAHAMU MAJUKUMU YA LATRA KATIKA KUDHIBITI USAFIRI ARDHINI

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) ni Mamlaka ya Udhibiti wa Serikali iliyoanzishwa kwa Sheria ya Bunge namba 3 ya mwaka 2019. Mamlaka hii...

LATRA WASISITIZA UTEKELEZAJI MAJUKUMU YAO

Mamlaka ya Udhibiti Usafirishaji Nchini (LATRA), imeendelea kusisitiza kuwa inazidi kujikita katika kutimiza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kanuni zinazoongoza mamlaka hiyo,...
spot_img