LATRA WASISITIZA UTEKELEZAJI MAJUKUMU YAO

Date:

Share post:

Mamlaka ya Udhibiti Usafirishaji Nchini (LATRA), imeendelea kusisitiza kuwa inazidi kujikita katika kutimiza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kanuni zinazoongoza mamlaka hiyo, kwakuwa kwa kufanya hivyo wanaamini watachangia kwa kiasi kikubwa kupunguza ajali za barabarani na madhara yake nchini. Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa mamlaka hiyo CPA Habib Suluo, hivi karibuni wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mabalozi na Kongamano la Usalama Barabarani 2022

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...