MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA) ‘limeisuka’ upya Makumbusho ya Chifu Mtwa Mkwawa, na sasa watalii kutoka nje ya nchi wanaweza kupata huduma zote...
SHIRIKA LA Hifadhi za Taifa (TANAPA), limefungua milango ya Lugalo mkoani Irnga. Eneo la kihistoria lilipo kaburi ya Nyundo, alikozikwa Kamanda wa Majeshi ya Kijerumani, Emil Von...
HISTORIA iliyosahaulika ya mwisho wa maisha ya mama mzazi wa Chifu Mtwa Mkwawa wa Kabila la Wahehe, imerejeshwa.
Hivi sasa, mtalii anayetembelea Makumbusho ya Chifu...
KAMA unataka kujua dawa mujarabu ya kumtambua mwanamke anayechepuka kwenye ndoa yake, tembelea makumbusho ya Chifu Mtwa Mkwawa iliyopo Kijiji cha Kalenga, mkoani Iringa.
Ukiwa ndani...
HISTORIA ya zaidi ya miaka 130 ya Kabila la Wahehe, lililopo Mkoa wa Iringa bado inaishi.
Historia hiyo inaishi katika makumbusho ya Chifu Mtwa Mkwawa Mkwavinyika...