Habari Kimataifa

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

RAIS KABILA ADAIWA SI MTOTO WA RAIS KABILA

Kinshasa DRC BAADHI ya maafisa wa Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), waibua madai kuwa rais wa mstaafu wa nchi hiyo, Joseph Kabila...

CHAKULA CHANUNULIWA KWA TAKA ZA PLASTIKI

MASHIRIKA YA HABARI YA KIMATAIFA TAKA za plastiki sasa zinatumika kununua chakula kwenye migahawa nchini India. Kwa mujibu wa mashirika ya habari ya kimataifa, manunuzi ya chakula...

BALOZI MATINYI AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA MFALME WA SWEDEN

Mteule wa Rais Samia Suluhu Hassan na Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi, amewasilisha rasmi Hati za Utambulisho kwa Mfalme Carl XVI...

SAM NUJOMA AFARIKI DUNIA

RIPOTA PANORAMA RAIS wa kwanza wa Namibia, Sam Nujoma amefariki duniani leo akiwa na umri wa miaka 95. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ikulu ya...

NANDI NDAITWAH RAIS WA KWANZA MWANAMKE NAMIBIA

MASHIRIKA YA HABARI MAKAMU wa Rais wa Namibia, Netumbo Nandi Ndaitwah ametangazwa mshindi wa nafasi ya Rais nchini Namibia kwa kupata asilimia 57 ya kura...

ISRAEL YAMTISHA KIONGOZI MPYA WA HEZBOLLAH

MASHIRIKA YA KIMATAIFA WAZIRI wa Ulinzi wa Israel, Yoav Gallant ametuma ujumbe kwenye mtandao wa X unaoeleza kuwa uteuzi wa kiongozi mpya wa kundi la...
spot_img