Habari Kimataifa

NEWCASTLE KUMUUZA MSHAMBULIAJI WA BEI MBAYA

LONDON, UingerezaKLABU ya Newcastle United itampiga bei straika raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Yoane Wissa, ambaye alisajiliwa kwa ada kubwa ya Pauni milioni 50 akitokea Brentford. Newcastle...

LIVERPOOL NAYO YAJITOSA KWA WHARTON

MERSEYSIDE, UingerezaLIVERPOOL imeungana na klabu zingine kubwa za Ulaya zinazomtolea macho kiungo wa Crystal Palace, Adam Wharton. Mtandao wa...

SINTOFAHAMU KUELEKEA MAZUNGUMZO YA PILI KATI YA MAREKANI, IRAN

WASHINGTON DC, MarekaniAKIZUNGUMZA na waandishi wa habari Aprili 16, 2026, Rais wa Marekani, Donald Trump, alisema ana matumaini...

TAJIRI WA MAN CITY ANAHUSIKA VIPI VITA NCHINI SUDAN?

MANCHESTER, UingerezaMMILIKI wa klabu ya Manchester City, Sheikh Mansour bin Zayed Al-Nahyan, anakabiliwa na tuhuma nzito za kusambaza...

MAREKANI, CUBA: MZOZO MWINGINE UNAOSUBIRI KUITIKISA DUNIA

HAVANA, CubaRAIS wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, hajaonesha unyonge, licha ya Taifa lake kuendelea kupewa presha kubwa na Rais...
spot_img

KENYA AIRWAYS LASHINDWA KULIPA DENI LA Sh1.9 TRILIONI

RIPOTA PANORAMA WAKATI Shirika la Ndege la Kenya likiendelea kujiimarisha kwenye uwekezaji na kuongeza idadi ya ndege, taarifa kutoka Ofisi ya Hazina ya Taifa hilo...

151 WAFARIKI KATIKA SHEREHE KOREA KUSINI

SEOUL, KOREA KUSINI WATU 151wamefariki dunia katika mkanyagano uliotokea wakati wa sherehe za Halloween mjini Seoul, Korea Kusini. Vifo hivyo vimetokea Jumamosi Oktoba 29, 2022 usiku...

DRC YAMFUKUZA BALOZI WA RWANDA

CONGO, DRC JAMHURIi ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imemfukuza balozi wa Rwanda nchini humo, Vincent Karega huku ikimpa saa 48 kuondoka nchini humo. Hatua hiyo inakuja...

MILIPUKO MIWILI YATIKISA MOGADISHU

MOGADISHU, SOMALIA MJI mkuu wa Somalia Mogadishu umekumbwa na milipuko miwili mchana huu. Moshi mweupe unaweza kuonekana ukifuka karibu na ofisi za Wizara ya Mambo ya...

SHAMBULIZI LA NDEGE ZISIZO NA RUBANI BAHARI NYEUS

MOSCOW, URUSI URUSI imeishutumu Ukraine kwa kufanya shambulizi "kubwa" la ndege zisizo na rubani kwenye makao makuu ya Meli zake katika Bahari Nyeusi mji wa...

JE, DUNIA INAWEZA KUBEBA WATU WANGAPI?

NI miaka 72,000 kabla ya Kristo wakati volkeno kubwa iitwayo Toba, iliyo katika kisiwa cha Indonesia cha Sumatra, ililipuka. Ilichukuliwa kuwa tukio kubwa zaidi...
spot_img