LONDON, UingerezaKLABU ya Newcastle United itampiga bei straika raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Yoane Wissa, ambaye alisajiliwa kwa ada kubwa ya Pauni milioni 50 akitokea Brentford.
Newcastle...
RIPOTA PANORAMA
WAKATI Shirika la Ndege la Kenya likiendelea kujiimarisha kwenye uwekezaji na kuongeza idadi ya ndege, taarifa kutoka Ofisi ya Hazina ya Taifa hilo...
SEOUL, KOREA KUSINI
WATU 151wamefariki dunia katika mkanyagano uliotokea wakati wa sherehe za Halloween mjini Seoul, Korea Kusini.
Vifo hivyo vimetokea Jumamosi Oktoba 29, 2022 usiku...
CONGO, DRC
JAMHURIi ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imemfukuza balozi wa Rwanda nchini humo, Vincent Karega huku ikimpa saa 48 kuondoka nchini humo.
Hatua hiyo inakuja...
MOGADISHU, SOMALIA
MJI mkuu wa Somalia Mogadishu umekumbwa na milipuko miwili mchana huu.
Moshi mweupe unaweza kuonekana ukifuka karibu na ofisi za Wizara ya Mambo ya...
MOSCOW, URUSI
URUSI imeishutumu Ukraine kwa kufanya shambulizi "kubwa" la ndege zisizo na rubani kwenye makao makuu ya Meli zake katika Bahari Nyeusi mji wa...
NI miaka 72,000 kabla ya Kristo wakati volkeno kubwa iitwayo Toba, iliyo katika kisiwa cha Indonesia cha Sumatra, ililipuka. Ilichukuliwa kuwa tukio kubwa zaidi...