Habari Kimataifa

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

DUNIA YAMUAGA PAPA BENEDIKTO XVI

VATICAN MWILI wa Papa Mstaafu Benedikto XVI, aliyefariki dunia Disemba 31, 2022 umelazwa katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro huko Vatican ambako watu kutoka mataifa...

PAPA BENEDICTO XVI KUTOKA 1927 HADI 2022

MASHIRIKA YA HABARI VATICAN Kardinali Joseph Aloisius Ratzinger ambaye ndiye Papa Benedicto wa XVI, ameumaliza mwendo, amepigana vita vilivyo vizuri, imani ameilinda. Papa Mstaafu Benedicto XVI aliyekuwa...

KENYA AIRWAYS LASHINDWA KULIPA DENI LA Sh1.9 TRILIONI

RIPOTA PANORAMA WAKATI Shirika la Ndege la Kenya likiendelea kujiimarisha kwenye uwekezaji na kuongeza idadi ya ndege, taarifa kutoka Ofisi ya Hazina ya Taifa hilo...

151 WAFARIKI KATIKA SHEREHE KOREA KUSINI

SEOUL, KOREA KUSINI WATU 151wamefariki dunia katika mkanyagano uliotokea wakati wa sherehe za Halloween mjini Seoul, Korea Kusini. Vifo hivyo vimetokea Jumamosi Oktoba 29, 2022 usiku...

DRC YAMFUKUZA BALOZI WA RWANDA

CONGO, DRC JAMHURIi ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imemfukuza balozi wa Rwanda nchini humo, Vincent Karega huku ikimpa saa 48 kuondoka nchini humo. Hatua hiyo inakuja...

MILIPUKO MIWILI YATIKISA MOGADISHU

MOGADISHU, SOMALIA MJI mkuu wa Somalia Mogadishu umekumbwa na milipuko miwili mchana huu. Moshi mweupe unaweza kuonekana ukifuka karibu na ofisi za Wizara ya Mambo ya...
spot_img