RIPOTI MAALUM

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

NINI KINAKWAMISHA AMANI YA KUDUMU DRC?

ABBAS MWALIMU 0719 25 84 84 WANAJESHI wapatao 900 kutoka Kenya wapo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Democratic Republic of Congo - DRC kwa ajili ya...

SYMBION MASWALI LUKUKI

RIPOTA PANORAMA SAKATA linalotokota chini kwa chini kwa muda mrefu sasa linalohusu Kampuni ya Symbion Power LLC kulipwa na Serikali, Shilingi bilioni 350 huku ikiwa...

LISSU, CHADEMA NA SIRI YA KIVULI CHA MAUTI

CHARLES MULLINDA KUNA mijadala mingi inayoendelea kuhusu kushambuliwa na Serikali na Bunge kumtelekeza kwa kutomlipia gharama za matibabu mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na...

FITNA ZA WAZUNGU BWANA LA KUZALISHA UMEME LA MWALIMU JULIUS NYERERE

RIPOTI MAALUMU (1) HEKAHEKA za wazungu kutaka kuzuia mradi mkubwa wa ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme la Julius Nyerere katika Mto Rufiji zimewainua wataalamu...

UTAJIRI NDANI YA SELOUS LINAPOJENGWA BWAWA LA KUZALISHA UMEME LA MWALIMU NYERERE

RIPOTI MAALUMU (2) HII ni sehemu ya pili ya ripoti maalumu ya utafiti uliofanywa na watalaamu bingwa wa kitanzania dhidi ya hekahela za wazungu za...

Ukosoaji wa wazungu kwa mradi wa umeme wa maji mto Rufiji

RIPOTI MAALUMU (3) HII ni sehemu ya tatu ya ripoti maalumu ya utafiti uliofanywa na watalaamu bingwa wazalendo dhidi ya hekahela za wazungu za kutaka...
spot_img