Habari Kitaifa

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

UNDANI KIGUGUMIZI CHA TRA KWA NINE FIVE GROUP

RIPOTA PANORAMA WAKATI Mamlaka ya Mapato (TRA) ikitoa majibu ya kujichanganya na pia ikishindwa kujibu baadhi ya maswali iliyoulizwa kuhusu nyaraka zenye utata za usafirishaji...

UKOSEFU WA BIMA YA AFYA, CHANGAMOTO KWA WAATHIRIKA WA AJALI ZA BARABARANI

RAMADHANI MSANGI, RSA TANZANIA IDADI kubwa ya madereva bodaboda wanaopata ajali na kulazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) si wanachama wa huduma...

SERIKALI ‘YAAMKA’ SKANDALI YA MECCO

RIPOTA PANORAMA HATIMAYE Serikali imetoa kauli kuhusu skandali ya kuporwa kwa ardhi na mali za umma na kutumika kuchukua mkopo wa mabilioni ya Shilingi katika...

MTIHANI MZITO TRA

RIPOTA PANORAMA MAMLAKA ya Mapato (TRA) jana ilijikuta katika mtihani mzito wa kutoa ufafanuzi wa majibu ya maswali sita iliyoulizwa na Tanzania PANORAMA Blog kuhusu...

“MECCO NI UHUJUMU NA UTAKATISHAJI”

RIPOTA PANORAMA IMEELEZWA kuwa skandari ya kuporwa kwa ardhi na mali za umma na kutumika kuchukua mkopo wa mabilioni ya Shilingi katika benki mbili kubwa...

WAZIRI MBARAWA AITUPA SKANDARI YA MECCO KWA MSAJILI WA HAZINA

RIPOTA PANORAMA WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa ameitupia 'mzigo' Ofisi ya Msajili wa Hazina skandari kuhusu kuporwa kwa ardhi na mali za...
spot_img