Saturday, 22 August 2026

Mkusanyiko wa habari

Habari Kitaifa

RAIS SAMIA ATAJWA MAFANIKIO TANROADS

RIPOTA PANORAMA MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS), Mhandisi Rogatus Mativila amesema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa na mchango mkubwa katika mafanikio ya utekelezaji wa majukumu ya…

MASHINE 300 ZA MICHEZO YA KUBAHATISHA ZATEKETEZWA

RIPOTA PANORAMA BODI ya Michezo ya Kubahatisha nchini (GBT) imeendesha msako na kukamata mashine za michezo ya kubahatisha 300 ambazo zilikuwa zinatumika kuikosesha serikali kiasi cha Sh milioni…

PANYA WATEKETEZA MASHAMBA KILOMBERO

RIPOTA PANORAMA PANYA wameteketeza alizeti na mahindi yaliyokuwa yanakaribia kuvunwa katika mashamba yenye jumla ya hekta 90.5 Kata ya Chita, Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro. Akizungumza na mwandishi…

UKAME WAKWAMISHA UWEKAJI MIFUGO HERENI

RIPOTA PANORAMA UWEKAJI hereni za kieletroniki kwa mifugo kwenye wilaya za Mkoa wa Arusha halitafanikiwa kwa sababu ya ukame unaozikabili wilaya mbalimbali na kusababisha mifugo kupelekwa mikoa ya…

MADIWANI MPIMBWE WAHOJI UJENZI WA BARABARA

RIPOTA PANORAMA BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Mkoa wa Katavi, limemtaka Meneja wa wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA), kuhakikisha anashughulikia barabara…

ENDELEENI KUFICHUA UKATILI KWA WATOTO

RIPOTA PANORAMA WAKATI taasisi ya Save the Children, ikizindua dawati la ulinzi wa mtoto Shule ya Msingi Levolosi jijini Arusha na mabaraza ya watoto kwa lengo kupata taarifa…

WAFUASI WATATU CHADEMA KORTINI

RIPOTA PANORAMA WATU watatu waliokuwa wakishikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay jana walifikishwa kortin wakituhumiwa kufanya mkusanyiko usiokuwa halali. Watuhumiwa hao ambao wafuasi wa Chama cha Demokrasia…

KIJO-BISIMBA ATAKIWA KUPIMA KAULI ZAKE

RIPOTA PANORAMA UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM), umemtaka Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Hellen Kijo-Bisimba kupima kauli zake za kuishutumu Serikali…

AJINYONGA KWA HOFU YA RANGI YA RAIS SAMIA NA RC KAFULILA

RIPOTA PANORAMA 0711 46 49 84KATIBU wa Chama cha Msingi cha Ushirika (AMCOS) cha Kijiji cha Sulu, Wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu, Daniel Jilala (43) amejinyonga hadi kufa…