Friday, 21 August 2026

Mkusanyiko wa habari

Michezo Kimataifa

KAIZER CHIEFS WAMNASA GOLIKIPA RENALDO LEANER

Klabu ya Kaizer Chiefs imeendelea kujiimarisha kuelekea msimu mpya baada ya kukamilisha usajili wa golikipa Renaldo Leaner, ambaye anatarajiwa kuongeza ushindani na uimara katika idara ya makipa. Leaner,…

ALICHOFANYA RONALDO KIMEIFURAHISHA DUNIA

Nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameongoza tukio la kugusa hisia baada ya Portugal kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Croatia na kufuzu hatua ya 16 bora…

MBAYA WA WAARABU ATUA SAUDI KWA KISHINDO KAZI WANAYO

Klabu ya Al Ahli Saudi FC imemtangaza rasmi Abubacarr Kinteh kuwa mchezaji wake mpya baada ya kukamilisha usajili wake katika dirisha hili la usajili wa majira ya joto.…

WABABE WA SIMBA WAONGEZA BALAA JIPYA KUNDINI

Klabu ya CS Constantine imemtangaza rasmi Mondher Kebaier kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo baada ya kukamilisha taratibu zote za usajili na kusaini mkataba wa kuiongoza klabu…

AS MONACO YAPATA PIGO ZITO, MWAMBA KAAGA RASMI

Beki kijana Kassoum Ouattara ameanza rasmi ukurasa mpya wa maisha yake ya soka baada ya kujiunga na Beşiktaş J.K. akitokea AS Monaco FC. Ouattara anaondoka Monaco baada ya…

SIO SIRI TENA KIONGOZI WAO KAONDOKA KLABUNI

Klabu ya Al-Ittihad SC imetoa salamu maalum za kumuaga aliyekuwa nahodha wake, Talal Faraj, baada ya kumalizika kwa kipindi chake cha kuitumikia timu hiyo. Kupitia taarifa iliyochapishwa na…

TAARIFA HII IMEWASHTUA WATU WENGI, SIO SIRI TENA

Klabu ya Athletic Club imetangaza rasmi kumuongezea mkataba Mkurugenzi wake wa Masuala ya Soka, Mikel González, ambaye sasa ataendelea kuhudumu katika nafasi hiyo hadi mwaka 2030. Uamuzi huo…

BAYERN MUNICH YAONYESHA JEURI YA PESA

Klabu ya Bayern Munich imetangaza rasmi kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Ismael Saibari kwa ada ya uhamisho inayoripotiwa kufikia euro milioni 55. Saibari, ambaye ameonyesha kiwango bora katika…