Michezo Kimataifa

FEISAL SALUM NA SIMULIZI YA KUHUZUNISHA: BABA YAKE HAJAWAHI KUMSHUHUDIA AKIWA UWANJANI

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

BAYERN MUNICH YAONYESHA JEURI YA PESA

Klabu ya Bayern Munich imetangaza rasmi kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Ismael Saibari kwa ada ya uhamisho inayoripotiwa kufikia euro milioni 55. Saibari, ambaye ameonyesha...

KAMA NI KWELI, TOTTENHAM WANASUKA BOMU

Klabu ya Tottenham Hotspur ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa viungo wawili, Sandro Tonali na Mateus, katika dirisha hili la usajili. Kwa...

Al NASR YAMTAMBULISHA RASMI MARIUS MARIN KWA MKATABA WA MIAKA MIWILI

Klabu ya Al Nassr imeendelea kuonyesha dhamira yake ya kuimarisha kikosi kuelekea misimu ijayo baada ya kutangaza rasmi kukamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa...

DRC CONGO HAWAPASWI KUTOA HATA TONE LA CHOZI

Matokeo ya kufungwa 2-1 na England yanaweza kuumiza, lakini kwa namna DRC Congo walivyocheza, hakuna sababu ya kujiona wameshindwa vibaya. Ukiangalia ubora wa kikosi cha...

KLOPP AFUNGUA MLANGO KUINOA UJERUMANI

Aliyekuwa kocha wa Liverpool, Jürgen Klopp, ameonyesha utayari wa kurejea benchi la ufundi ikiwa atapewa jukumu la kuinoa timu ya taifa ya Ujerumani. Ripoti zinaeleza...

BELOUIZDAD YAMNASA KIUNGO WA TUNISIA, HOUSSEM TKA

Klabu ya Shabab Belouizdad ya Algeria imemtangaza rasmi kiungo wa kimataifa wa Tunisia, Houssem Tka, kuwa mchezaji wake mpya ikiwa ni sehemu ya maandalizi...
spot_img