Michezo Kimataifa

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini dhidi ya Hull City na dakika za nyongeza za mchezo huo...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...
spot_img

NEWCASTLE KUMUUZA MSHAMBULIAJI WA BEI MBAYA

LONDON, UingerezaKLABU ya Newcastle United itampiga bei straika raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Yoane Wissa, ambaye alisajiliwa kwa ada kubwa ya...

LIVERPOOL NAYO YAJITOSA KWA WHARTON

MERSEYSIDE, UingerezaLIVERPOOL imeungana na klabu zingine kubwa za Ulaya zinazomtolea macho kiungo wa Crystal Palace, Adam Wharton. Mtandao wa talkSPORT umeripoti kuwa nyota hiyo anatarajiwa...

LIGI YA EUROPA KUMEKUCHA NUSU FAINALI

LONDON, UingerezaMECHI za marudiano hatua ya robo fainali ya msimu huu wa Ligi ya Europa zilimalizika usiku wa jana Aprili 16, 2026. Hivyo, timu nne...

KLOPP, POCHETTINO NANI KUPEWA KAZI MADRID?

LONDON, UingerezaMABOSI wa Real Madrid wanatembea na majina ya makocha wawili, Jurgen Klopp na Mauricio Pochettino, na huenda mmoja wao akaajiriwa kuinoa timu hiyo. Madrid...

MAN CITY, ARSENAL NI JASHO, DAMU WIKIENDI HII

LONDON, UingerezaARSENAL wako kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya England (EPL) lakini ni pointi sita pekee zinazoitenganisha na Manchester City inayoshika nafasi ya...

SENESI SASA AINGIA RADA ZA LIVERPOOL

MERSEYSIDE, Uingereza KLABU ya Liverpool imeanza rasmi mbio za kunasa saini ya beki wa Bournemouth, Marcos Senesi. Taarifa za Senesi kuondoka Bournemouth zimeongezeka tangu kocha Andoni...
spot_img