DK MDUMA ATEULIWA KUKAIMU TUME YA USHINDANI

Date:

Share post:

 
 
Dk. Mduma
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage amemteua Dk. John Mduma kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani.

Kwa mujibu wa taarifa ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Profesa Adolf Mkenda kwa vyombo vya habari leo, uteuzi wa Dk. Mduma unaanza kesho.  Agosti 28, 2017.

Dk. Mduma ambaye ni Mhadhiri Mwandamizi, Idara ya Uchumi Vhuo Kikuu cha Dar es Salaam atakaimu nafasi baada ya Dk. Frederick Rindo kumaliza muda wake.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

MAREKANI, CUBA: MZOZO MWINGINE UNAOSUBIRI KUITIKISA DUNIA

HAVANA, CubaRAIS wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, hajaonesha unyonge, licha ya Taifa lake kuendelea kupewa presha kubwa na Rais...

LINDI YAIMARISHA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA WASH KUBORESHA AFYA ZA WANANCHI

Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary, amesema mkoa huo unaendelea kunufaika na utekelezaji wa afua...

WAZIRI MKUU AWASILI ARUSHA KWA ZIARA YAKE YA KIKAZI

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amewasili mkoani Arusha kwa ziara...

BARAZA LA MADIWANI MTAMA LAKUTANA, LAPONGEZA MAFANIKIO YA MIRADI YA MAENDELEO

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama limefanya kikao chake cha robo ya tatu kwa mwaka...