ISRAEL YASEMA HAINA NIA YA KUTWAA ARIDHI LEBANON

Date:

Share post:

Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel Gideon Sa’ar amesema nchi yake haina nia ya kutwaa maeneo ya Lebanon, wakati vikosi vya Israel vikiendelea na operesheni kusini mwa nchi hiyo dhidi ya kundi la Hezbollah linaloungwa mkono na Iran, licha ya kuwepo kwa makubaliano ya kusitisha mapigano.

“Israel haina matarajio ya kujitanua kimamlaka au kutwaa maeneo ya Lebanon,” Sa’ar alisema katika mkutano wa pamoja na mwenzake wa Serbia, Marko Đurić.

“Uwepo wetu katika maeneo ya mpakani kaskazini una lengo moja tu: kuwalinda raia wetu.”

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SERIKALI YAIMARISHA USAMBAZAJI WA CHANJO IKIZINDUA BOTI 7 ZA BILION1.1

Serikali imeendelea kuimarisha huduma za chanjo nchini kupitia uzinduzi wa boti saba zenye thamani ya shilingi Bilioni 1.1...

VYOMBO VYA HABARI NCHINI VYA TAJWA KUWA NGUZO YA KULINDA MAADILI YA MTANZANIA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Serikali inavitegemea kwa kiasi kikubwa vyombo vya habari...

HANDENI KUIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA KUPITIA UGAWAJI WA VYANDARUA BURE

Katika kuendeleza jitihada za kupambana na ugonjwa wa malaria nchini, Halmashauri ya Wilaya ya Handeni kwa kushirikiana na...

UZALISHAJI NA UINGIZAJI WA MIFUKO YA PLASTIKI WAPUNGUA KWA ASILIMIA 95%

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Reuben Kwagilwa bungeni jijini...