WANAFUNZI KATAVI WATAKIWA KUONYESHA USHIRIKIANO KWA JESHI LA POLISI

Date:

Share post:

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kishaki iliyopo Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi katika kutoa taarifa za matukio mbalimbali ya kihalifu yakiwemo ya ukatili na unyanyasaji wa Kijinsia.

Wito huo umetolewa Aprili 29, 2026 na Mtendaji wa Dawati la Jinsia na watoto la Wilaya ya Mpanda, Sajenti Yunis Magelo Wakati akitoa elimu ya namna ya kuzuia ukatili na unyanyasaji wa kijinsia kwa wanafunzi na kuwataka waepuke kujihusisha na mahusiano ya kimapenzi katika umri mdogo.

Hatahivyo Sajenti Yunis amewataka wanafunzi hao kuwa na maadili mema katika jamii zinazowazunguka ikiwemo kuepuka kujihusisha na makundi ya kihalifu badala wasome kwa bidii ili kutimiza malengo yao ya baadae.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SERIKALI YAIMARISHA USAMBAZAJI WA CHANJO IKIZINDUA BOTI 7 ZA BILION1.1

Serikali imeendelea kuimarisha huduma za chanjo nchini kupitia uzinduzi wa boti saba zenye thamani ya shilingi Bilioni 1.1...

VYOMBO VYA HABARI NCHINI VYA TAJWA KUWA NGUZO YA KULINDA MAADILI YA MTANZANIA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Serikali inavitegemea kwa kiasi kikubwa vyombo vya habari...

HANDENI KUIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA KUPITIA UGAWAJI WA VYANDARUA BURE

Katika kuendeleza jitihada za kupambana na ugonjwa wa malaria nchini, Halmashauri ya Wilaya ya Handeni kwa kushirikiana na...

UZALISHAJI NA UINGIZAJI WA MIFUKO YA PLASTIKI WAPUNGUA KWA ASILIMIA 95%

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Reuben Kwagilwa bungeni jijini...