MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
RIPOTA PANORAMA
Nairobi, Kenya
TANZANIA, kesho itatoa tamko kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Shirika la Makazi la Umoja wa Mataifa (UN-HABITAT) kuhusu hatua inazochukua kukabiliana na changamoto...
RIPOTA PANORAMA
Nairobi, Kenya
MKUTANO Mkuu wa Shirika la Makazi duniani (UN – HABITAT) unaanza kesho jijini Nairobi, Kenya ukiwa na kauli mbiu isemayo hatma ya...
Vatican
RAIS wa Ukraine, Vlodymyr Zelensky, Jumamosi ya Mei 13, 2023 aliingia makao makuu ya Kanisa Katoliki duniani, Vatican akitumia gari la kivita na kufanya...
MASHIRIKA YA HABARI YA KIMATAIFA
PAUL Nthenge Mackenzie, Kasisi wa dhehebu la Kikristu nchini Kenya anayeongoza Kanisa la Good News International, mahubiri yake kwa maelfu...
RIPOTA MAALUMU
IMEELEZWA kuwa wachungaji wa madhehebu ya dini wana nguvu ya ushawishi dhidi ya wafuasi wao kwa sababu huwa wanajifunza mbinu za kutumia kuwakusanya...
MASHIRIKA YA HABARI YA KIMATAIFA
WATU 130 waliofariki dunia baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha siku ya Mei 4, usiku katika...