Habari Kimataifa

MAREKANI, CUBA: MZOZO MWINGINE UNAOSUBIRI KUITIKISA DUNIA

HAVANA, CubaRAIS wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, hajaonesha unyonge, licha ya Taifa lake kuendelea kupewa presha kubwa na Rais wa Marekani, Donald Trump. Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akitishia kuivamia Cuba,...

LINDI YAIMARISHA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA WASH KUBORESHA AFYA ZA WANANCHI

Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary, amesema mkoa huo unaendelea kunufaika na utekelezaji wa afua...

WAZIRI MKUU AWASILI ARUSHA KWA ZIARA YAKE YA KIKAZI

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amewasili mkoani Arusha kwa ziara...

BARAZA LA MADIWANI MTAMA LAKUTANA, LAPONGEZA MAFANIKIO YA MIRADI YA MAENDELEO

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama limefanya kikao chake cha robo ya tatu kwa mwaka...

VIONGOZI LONGIDO WATAKIWA KUHARAKISHA UANZISHAJI WA JUHIZINA

Viongozi wa vijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido wametakiwa kuongeza kasi ya utekelezaji wa mchakato wa kuanzisha...
spot_img

SAM NUJOMA AFARIKI DUNIA

RIPOTA PANORAMA RAIS wa kwanza wa Namibia, Sam Nujoma amefariki duniani leo akiwa na umri wa miaka 95. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ikulu ya...

NANDI NDAITWAH RAIS WA KWANZA MWANAMKE NAMIBIA

MASHIRIKA YA HABARI MAKAMU wa Rais wa Namibia, Netumbo Nandi Ndaitwah ametangazwa mshindi wa nafasi ya Rais nchini Namibia kwa kupata asilimia 57 ya kura...

ISRAEL YAMTISHA KIONGOZI MPYA WA HEZBOLLAH

MASHIRIKA YA KIMATAIFA WAZIRI wa Ulinzi wa Israel, Yoav Gallant ametuma ujumbe kwenye mtandao wa X unaoeleza kuwa uteuzi wa kiongozi mpya wa kundi la...

MADAKTARI WASAIDIA KUFA MUME NA MKE

WANANDOA Jan aliyekuwa na umri wa miaka 70 na Els   aliyekuwa na umri wa miaka 71 wamefariki dunia mapema mwezi Juni, 2024 baada ya...

MTUNZA FUNGUO ZA AL – KAABA AFARIKI DUNIA

MASHIRIKA YA HABARI YA KIMATAIFA MTUNZA funguo za eneo takatifu kwa waumini wa dini ya kiislamu, Dk. Saleh bin Zainul Abedin Al Shebi amefariki dunia...

PAPA AHUBIRI UMOJA, AKATAA UNAJISI

Vatican PAPA wa Kanisa Katoliki ambaye ni Askofu wa Roma, Papa Fransisco amewataka waumini wa Kanisa Katoliki kuishi katika umoja na kutotengana kwa sababu ya...
spot_img