MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
PORTO-NOVO, Benin
HOFU ya mashambulizi ya kigaidi imeendelea kutanda nchini Benin wakati wananchi wakijiandaa kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Aprili 12, 2026.
Raia wa nchi hiyo...
BEIRUT, Lebabon
WAKATI huu Marekani na Iran zikiwa kwenye mapumziko ya wiki mbili ya kusitisha vita, Israel imeendelea kushambulia maeneo mbalimbali ya Lebabon.
Ifahamike kuwa Israel...
LOS ANGELES, Marekani
MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Jasveen Sangha amehukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani baada ya dawa alizompatia Matthew Perry kusababisha kifo cha...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, amelijia juu Shirika la Utangazaji la CNN akisema limekuwa likizalisha habari za uongo.
Trump hajafurahishwa na namna CNN...
SERIKALI ya Marekani imekataa rasmi mapendekezo ya hoja 10 yaliyowasilishwa na Iran kuhusu kusitisha mapigano, ikisema masharti hayo hayaendani na msimamo wake wa kiusalama.
Mpango...
Washington, Marekani
Rais wa Marekani Donald J Trump amesema kuwa akimaliza awamu yake ya uongozi nchini humo, anaweza kwenda kugombea urais nchini Venezuela na akapata...