Habari Kimataifa

FEISAL SALUM NA SIMULIZI YA KUHUZUNISHA: BABA YAKE HAJAWAHI KUMSHUHUDIA AKIWA UWANJANI

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

MVUA KUBWA YAGEUZA MITAA KUWA MITO YA BARAFU NCHINI MAREKANI

Mvua kubwa iliyoambatana na dhoruba kali imekumba eneo la Boise katika jimbo la Idaho, na kusababisha mafuriko makubwa baada ya mifumo ya kupitisha maji...

KIFURUSHI CHENYE BOMU CHALETA MAAFA

‎Mfanyabiashara maarufu kutoka Ukraine alikuwa miongoni mwa watu watatu waliojeruhiwa baada ya kifurushi kinachoshukiwa kuwa na bomu kulipuka ndani ya jengo la makazi huko...

EACOP MSHIPA MPYA WA NISHATI YA MAFUTA AFRICA MASHARIKI

. Katika historia ya maendeleo ya sekta ya nishati Afrika Mashariki, kuna miradi michache yenye ukubwa na athari chanya zinazoweza kulinganishwa na Bomba la Mafuta...

FILAMU YA MICHAEL YAKARIBIA MAPATO DOLA BILIONI 1

Filamu ya wasifu wa nguli wa muziki wa pop, Michael, imeendelea kuweka historia katika soko la filamu duniani baada ya kukusanya dola milioni 977.5...

UJINGA WAGEUKA MTAJI WA KUPATA PESA NIGERIA

Mwanasheria na mwandishi maarufu wa Nigeria, Dele Farotimi, amechangia mjadala unaoendelea nchini humo kuhusu mtazamo unaojulikana kama "Olodo Uprising", ambao umekuwa ukijadiliwa kwa kina...

KAULI MPYA ISRAEL NA IRAN ZAZUA WASIWASI

‎Mvutano wa Israel na Iran waongezeka huku kukiwa na madai kuhusu kiongozi wa Iran‎‎Mvutano wa kisiasa na kijeshi kati ya Israel na Iran umeendelea...
spot_img