Habari Kimataifa

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

UGAIDI WATIKISA UCHAGUZI MKUU BENIN

PORTO-NOVO, Benin HOFU ya mashambulizi ya kigaidi imeendelea kutanda nchini Benin wakati wananchi wakijiandaa kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Aprili 12, 2026. Raia wa nchi hiyo...

ISRAEL, HAZBOLLAH BADO NGOMA MBICHI

BEIRUT, Lebabon WAKATI huu Marekani na Iran zikiwa kwenye mapumziko ya wiki mbili ya kusitisha vita, Israel imeendelea kushambulia maeneo mbalimbali ya Lebabon. Ifahamike kuwa Israel...

JELA MIAKA 15 KWA KUSABABISHA KIFO CHA MWIGIZAJI

LOS ANGELES, Marekani MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Jasveen Sangha amehukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani baada ya dawa alizompatia Matthew Perry kusababisha kifo cha...

TRUMP ATISHIA KUWABURUZA CNN MAHAKAMANI KWA KURIPOTI IRAN KASHINDA VITA

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amelijia juu Shirika la Utangazaji la CNN akisema limekuwa likizalisha habari za uongo. Trump hajafurahishwa na namna CNN...

MAREKANI YAKATAA HOJA 10 ZA IRAN

SERIKALI  ya Marekani imekataa rasmi mapendekezo ya hoja 10 yaliyowasilishwa na Iran kuhusu kusitisha mapigano, ikisema masharti hayo hayaendani na msimamo wake wa kiusalama. Mpango...

DONALD TRUMP ADAI ATAGOMBEA URAIS VENEZUELA

Washington, Marekani Rais wa Marekani Donald J Trump amesema kuwa akimaliza awamu yake ya uongozi nchini humo, anaweza kwenda kugombea urais nchini Venezuela na akapata...
spot_img