Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...
RIPOTA PANORAMA
Moshi, Kilimanjaro
JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linafuatilia taarifa za kuwepo watumiaji na wauza wa dawa kulevya, pamoja na watu wanaojihusisha na mapenzi...
Florida, Marekani
RAIS wa zamani wa Marekani, Donald Trump ametangaza kuwania tena nafasi ya urais wa nchi hiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika 2024.
Trump alitangaza nia...
BRUSSELS, UBELGIJI
Genevieve Lhermitte, Mwanamke Raia wa Ubelgiji ambaye aliwaua watoto wake watano miaka 16 iliyopita, mapema wiki hii amenyongwa hadi kufa baada ya kuomba...
LONDON, UINGEREZA
FAMILIA ya kifalme ya Uingereza inakabiliwa na mtikisiko mkubwa baada ya mwana mfalme, Prince Harry kuandika kitabu chenye mlolongo wa malalamiko, majuto, madai...
VATICAN
PAPA Mstaafu Benedicto XVI, Alhamis ya Januari 5, 2023 mwili wake ulizikwa kwenye kaburini lililo katika kanisa la Mtakatifu Petro, Vatican.
Kwa mujibu wa vyombo...
VATICAN
MWILI wa Papa Mstaafu Benedikto XVI, aliyefariki dunia Disemba 31, 2022 umelazwa katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro huko Vatican ambako watu kutoka mataifa...