Habari Kimataifa

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

KAMPUNI YA SICPA INAYOTOA NYARAKA TRA, TBS YAPIGWA FAINI KWA TUHUMA ZA RUSHWA

GENEVA, Uswisi KAMPUNI ya masuala ya usalama ya SICPA inayofanya kazi katika maeneo mbalimbali duniani, imehukumiwa kulipa Dola za Marekani milioni 90.6 baada ya kutiwa...

POLISI WAFUATILIA WAUZA DAWA ZA KULEVYA, MASHOGA MOSHI CENTRAL CLUB

RIPOTA PANORAMA Moshi, Kilimanjaro JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linafuatilia taarifa za kuwepo watumiaji na wauza wa dawa kulevya, pamoja na watu wanaojihusisha na mapenzi...

TRUMP KUGOMBEA TENA URAIS 2024

Florida, Marekani RAIS wa zamani wa Marekani, Donald Trump ametangaza kuwania tena nafasi ya urais wa nchi hiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika 2024. Trump alitangaza nia...

MWANAMKE ALIYEUA WANAYE WATANO ANYONGWA

BRUSSELS, UBELGIJI Genevieve Lhermitte, Mwanamke Raia wa Ubelgiji ambaye aliwaua watoto wake watano miaka 16 iliyopita, mapema wiki hii amenyongwa hadi kufa baada ya kuomba...

PRINCE HARRY KUTIKISA UFALME WA UINGEREZA

LONDON, UINGEREZA FAMILIA ya kifalme ya Uingereza inakabiliwa na mtikisiko mkubwa baada ya mwana mfalme, Prince Harry kuandika kitabu chenye mlolongo wa malalamiko, majuto, madai...

SAFARI YA MWISHO YA PAPA BENEDICTO XVI DUNIANI

VATICAN PAPA Mstaafu Benedicto XVI, Alhamis ya Januari 5, 2023 mwili wake ulizikwa kwenye kaburini lililo katika kanisa la Mtakatifu Petro, Vatican. Kwa mujibu wa vyombo...
spot_img