Makala Kitaifa

MAREKANI, CUBA: MZOZO MWINGINE UNAOSUBIRI KUITIKISA DUNIA

HAVANA, CubaRAIS wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, hajaonesha unyonge, licha ya Taifa lake kuendelea kupewa presha kubwa na Rais wa Marekani, Donald Trump. Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akitishia kuivamia Cuba,...

LINDI YAIMARISHA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA WASH KUBORESHA AFYA ZA WANANCHI

Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary, amesema mkoa huo unaendelea kunufaika na utekelezaji wa afua...

WAZIRI MKUU AWASILI ARUSHA KWA ZIARA YAKE YA KIKAZI

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amewasili mkoani Arusha kwa ziara...

BARAZA LA MADIWANI MTAMA LAKUTANA, LAPONGEZA MAFANIKIO YA MIRADI YA MAENDELEO

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama limefanya kikao chake cha robo ya tatu kwa mwaka...

VIONGOZI LONGIDO WATAKIWA KUHARAKISHA UANZISHAJI WA JUHIZINA

Viongozi wa vijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido wametakiwa kuongeza kasi ya utekelezaji wa mchakato wa kuanzisha...
spot_img

Bandari ya Tanga sasa ina mambo mapya

Mabilioni ya fedha yaliyomwagwa na serikali kuiboresha kivifaa, mitambo na upanuzi wa magati, yameipa bandari ya Tanga, sura na uwezo mpya wa kibandari. Tanzania Panorama...

IFAHAMU TIL, KAMPUNI TANZU YA UWEKEZAJI YA TANAPA

MAKALA YA MTANGAZAJI TANAPA Investiment Limited (TIL) ni jina geni kwenye orodha ya kampuni za uwekezaji na uzalishaji mali zinazomilikiwa na Mashirika ya Umma ambayo imefungua...

ANGELLAH KAIRUKI AMESHIKA NDOTO YA RAIS SAMIA YA 2025  

MAKALA MAALUMU NDOTO ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuongeza idadi ya watalii nchini hadi kufikia milioni tano ifikapo mwaka 2025 na pato la Taifa...

MWANZO MPYA WA ANGELLAH KAIRUKI KUELEKEA TANAPA YA MAFANIKIO

MAKALA MAALUMU ULINZI na uhifadhi wa maliasili, utatuzi wa migogoro ya maeneo baina ya Hifadhi za Taifa na vijiji, uboreshaji maeneo ya malisho ya wanyama,...

MAENDELEO YA WATU, HUJUMA NA UHALIFU, UHABA WA DOLA MWIBA KWA MALENGO YA WIZARA YA NISHATI 2023/24

MAKALA MAALUMU UZALISHAJI wa umeme na gesi asilia kwa mwaka 2023/24 haukuendana na mahitaji yaliyopo nchini kwa sababu ya ukuaji wa shughuli za kiuchumi na...

HATUA 6 MUHIMU ZA DK. BITEKO SEKTA YA NISHATI MWAKA 2023/2024

MAKALA MAALUMU DK. DOTTO Mashaka Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati amepiga hatua sita muhimu katika utekelezaji wa majukumu ya wizara anayoiongoza pamoja...
spot_img