Michezo Kimataifa

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini dhidi ya Hull City na dakika za nyongeza za mchezo huo...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...
spot_img

ATLETICO MADRID YAVUNJA MWIKO CAMP NOU

CATALUNYA, Hispania KWA ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Barcelona, Atletico Madrid ya kocha Diego Simeone imefuta ‘mkosi’ ulioiandama kwa miaka 20. Katika mchezo wa jana...

RIVER PLATE WAMVUTIA KAZI GARNACHO

LONDON, Uingereza WINGA wa Chelsea, Alejandro Garnacho, ameingia kwenye rada za klabu kongwe ya Argentina, River Plate. Ni mwaka mmoja sasa tangu Muargentina huyo mwenye umri...

DORTMUND YAMPAMBANIA NA SANCHO

MUNICH, Ujerumani KLABU ya Borussia Dortmund inajaribu kumrejesha kiungo wake wa zamani, Jadon Sancho. Sancho aliondoka Dortmund mwaka 2021 na kutua Manchester United kwa ada ya...

MOTSEPE: CAF ICHUNGUZWE TUHUMA ZA RUSHWA

CAIRO, Misri RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Patrice Motsepe, amesema yuko tayari kuruhusu Taasisi hiyo kuchunguzwa juu ya tuhuma za rushwa. Motsepe ameyasema hayo...

TYSON FURY ATANGAZA KUMTAKA JOSHUA

LONDON, Uingereza BONDIA wa ngumi za uzito wa juu duniani, Tyson Fury, ameeleza kiu yake ya kuzichapa na Muingereza mwenzake, Anthony Joshua. Fury amesema anatamani kurushiana...

KIGOGO CAF APONDA MOROCCO KUPEWA UBINGWA AFCON 2025

CAIRO, Misri MAKAMU wa Rais wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Faustino Varela Monteiro, ameibuka na kusema haungi mkono uamuzi wa...
spot_img