Michezo Kimataifa

MIAKA SITA YA MAPENZI, DAKIKA CHACHE ZA VIPIMO NA UAMUZI MGUMU ULIOFUTA NDOTO YA HARUSI

Kisa kinachosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kuhusu wapenzi waliodumu kwenye uhusiano kwa miaka sita lakini wakaamua kuachana baada ya kugundua wote wana genotype AS kimezua mjadala mpana...

SANDRO TONALI ATIMKIA TOTTENHAM KWA UHAMISHO WA KUDUMU

Klabu ya Newcastle United imetangaza rasmi kuondoka kwa kiungo wa Italia, Sandro Tonali, ambaye amejiunga na Tottenham Hotspur...

LEO BAPTISTAO AONGEZA MKATABA WAKE UD ALMERÍA

Klabu ya UD Almería imethibitisha kuwa mshambuliaji wa Brazil, Leo Baptistao, ataendelea kuitumikia timu hiyo baada ya kuongeza...

SEBASTIÁN ARÉ AJIUNGA NA SANFRECCE HIROSHIMA KWA MKATABA WA KUDUMU

Klabu ya Sanfrecce Hiroshima ya Ligi Kuu ya Japan (J1 League) imetangaza rasmi usajili wa mshambuliaji Sebastián Aré...

ATLÉTICO MADRID YAMKARIBISHA DILI LA KING-IN LEE KWA EURO MILIONI 40

Klabu ya Atlético Madrid imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Kang-in Lee kutoka Paris Saint-Germain (PSG) katika dirisha...
spot_img

SHEREHE ZA ARSENAL ZAZUA VIRUGU LONDON

Watu sita wamejeruhiwa kwa kuchomwa kisu na wengine 24 kukamatwa wakati wa sherehe za kusherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya England wa Arsenal F.C....

RC MTANDA MSTARI WA MBELE KUISAPOTI SERENGETI BOYS FAINAL DHIDI YA SENEGAL

https://youtu.be/olSSIpnvvps Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amewaalika wakazi wa mkoa huo na Watanzania kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kushuhudia na kuipa sapoti timu...

JAMES MILNER ATANGAZA KUSTAAFU KUCHEZA SOKA LA KULIPWA

‎Mchezaji mkongwe wa soka nchini England, James Milner, ametangaza rasmi kustaafu soka la kulipwa baada ya kuwa na mafanikio makubwa ndani ya Ligi Kuu...

HARAMBEE STARS YAFANYA MABADIRIKO KUELEKEA MECHI ZA KIRAFIKI JUNI  MWAKA HUU

‎Timu ya taifa ya Kenya, Harambee Stars, imefanya mabadiliko kadhaa katika kikosi chake kinachojiandaa kwa mechi za kirafiki za kimataifa zitakazochezwa mwezi Juni.‎‎Mabadiliko hayo...

BOURNEMOUTH YAPANIA LIGI YA MABINGWA ULAYA BAADA YA KUIKOSESHA MAN CITY UBINGWA EPL

Klabu ya AFC Bournemouth imeandika historia mpya baada ya kufuzu michuano ya Ulaya kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake, licha ya kutoka sare...

EMERY ATAJWA KUCHUKUA MIKOBA REAL MADRID

MADRID, Hispania KOCHA anayefanya vizuri Ligi Kuu ya England (EPL) akiwa na kikosi cha Aston Villa, Unai Emery, anafukuziwa na Real Madrid. Emery bado ana mkataba...
spot_img