LONDON, Uingereza
NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini dhidi ya Hull City na dakika za nyongeza za mchezo huo...
CATALUNYA, Hispania
KWA ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Barcelona, Atletico Madrid ya kocha Diego Simeone imefuta ‘mkosi’ ulioiandama kwa miaka 20.
Katika mchezo wa jana...
LONDON, Uingereza
WINGA wa Chelsea, Alejandro Garnacho, ameingia kwenye rada za klabu kongwe ya Argentina, River Plate.
Ni mwaka mmoja sasa tangu Muargentina huyo mwenye umri...
MUNICH, Ujerumani
KLABU ya Borussia Dortmund inajaribu kumrejesha kiungo wake wa zamani, Jadon Sancho.
Sancho aliondoka Dortmund mwaka 2021 na kutua Manchester United kwa ada ya...
CAIRO, Misri
RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Patrice Motsepe, amesema yuko tayari kuruhusu Taasisi hiyo kuchunguzwa juu ya tuhuma za rushwa.
Motsepe ameyasema hayo...
LONDON, Uingereza
BONDIA wa ngumi za uzito wa juu duniani, Tyson Fury, ameeleza kiu yake ya kuzichapa na Muingereza mwenzake, Anthony Joshua.
Fury amesema anatamani kurushiana...
CAIRO, Misri
MAKAMU wa Rais wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Faustino Varela Monteiro, ameibuka na kusema haungi mkono uamuzi wa...