Michezo Kimataifa

MIAKA SITA YA MAPENZI, DAKIKA CHACHE ZA VIPIMO NA UAMUZI MGUMU ULIOFUTA NDOTO YA HARUSI

Kisa kinachosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kuhusu wapenzi waliodumu kwenye uhusiano kwa miaka sita lakini wakaamua kuachana baada ya kugundua wote wana genotype AS kimezua mjadala mpana...

SANDRO TONALI ATIMKIA TOTTENHAM KWA UHAMISHO WA KUDUMU

Klabu ya Newcastle United imetangaza rasmi kuondoka kwa kiungo wa Italia, Sandro Tonali, ambaye amejiunga na Tottenham Hotspur...

LEO BAPTISTAO AONGEZA MKATABA WAKE UD ALMERÍA

Klabu ya UD Almería imethibitisha kuwa mshambuliaji wa Brazil, Leo Baptistao, ataendelea kuitumikia timu hiyo baada ya kuongeza...

SEBASTIÁN ARÉ AJIUNGA NA SANFRECCE HIROSHIMA KWA MKATABA WA KUDUMU

Klabu ya Sanfrecce Hiroshima ya Ligi Kuu ya Japan (J1 League) imetangaza rasmi usajili wa mshambuliaji Sebastián Aré...

ATLÉTICO MADRID YAMKARIBISHA DILI LA KING-IN LEE KWA EURO MILIONI 40

Klabu ya Atlético Madrid imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Kang-in Lee kutoka Paris Saint-Germain (PSG) katika dirisha...
spot_img

MOTSEPE: CAF ICHUNGUZWE TUHUMA ZA RUSHWA

CAIRO, Misri RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Patrice Motsepe, amesema yuko tayari kuruhusu Taasisi hiyo kuchunguzwa juu ya tuhuma za rushwa. Motsepe ameyasema hayo...

TYSON FURY ATANGAZA KUMTAKA JOSHUA

LONDON, Uingereza BONDIA wa ngumi za uzito wa juu duniani, Tyson Fury, ameeleza kiu yake ya kuzichapa na Muingereza mwenzake, Anthony Joshua. Fury amesema anatamani kurushiana...

KIGOGO CAF APONDA MOROCCO KUPEWA UBINGWA AFCON 2025

CAIRO, Misri MAKAMU wa Rais wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Faustino Varela Monteiro, ameibuka na kusema haungi mkono uamuzi wa...

WAZIRI WA MICHEZO DRC CONGO AMCHIMBA MKWARA CRISTIANO RONALDO

KINSHASA, DRC WAZIRI wa Wizara ya Michezo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Didier Bodimbo, amemtumia ujumbe mzito supastaa wa soka duniani, Cristiano Ronaldo. Bodimbo...
spot_img