RAIS DKT. MWINYI APOKEA RIPOTI YA CAG ZANZIBAR YA MWAKA 2024/2025

Date:

Share post:

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar (CAG) ya mwaka 2024–2025.

Ripoti hiyo imewasilishwa leo, tarehe 30 Aprili 2026, na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar, Dkt. Othman Abbas Ali, katika hafla iliyofanyika Ikulu, Zanzibar.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR KUENDELEZA USHIRIKIANO NA IRELAND

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar itaendelea kuimarisha...

KAMBI YA WAKIMBIZI NDUTA KUFUNGWA KUFUATIA UREJESHWAJI WA HIARI WA WAKIMBIZI BURUNDI

Kambi ya Wakimbizi ya Nduta iliyopo Wilaya ya Kibondo, Mkoa wa Kigoma inatarajiwa kufungwa rasmi Leo Aprili 30,...

INTANETI YA KASI YAFIKIA ASILIMIA 94 MAENEO YA MAKAZI WATUMIAJI WAKIFIKA ASILIMIA 85.3

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, amesema huduma ya intaneti ya kasi imefikia asilimia 94...

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA WADAU KUTOA ELIMU YA UPANDAJI MITI KWA BIASHARA YA KABONI

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeendelea kufanya jitihada mbalimbali ili kuhakikisha...