INTANETI YA KASI YAFIKIA ASILIMIA 94 MAENEO YA MAKAZI WATUMIAJI WAKIFIKA ASILIMIA 85.3

Date:

Share post:

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, amesema huduma ya intaneti ya kasi imefikia asilimia 94 ya maeneo ya makazi nchini, huku idadi ya watumiaji wa intaneti ikiongezeka na kufikia asilimia 85.3.

Akiwasilisha bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027 bungeni jijini Dodoma leo Aprili 30, 2026, Waziri Kairuki amesema Serikali inaendelea kuimarisha miundombinu ya mawasiliano kupitia Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano.

Ameeleza kuwa uwezo wa Mkongo wa Taifa umeongezwa kutoka 200Gbps hadi kati ya 400Gbps na 2,000Gbps kwenye njia kuu, huku maunganisho ya mipakani yakiongezwa kutoka 100Gbps hadi 800Gbps ili kuongeza kasi, ufanisi na upatikanaji wa huduma za mtandao nchini.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

RAIS DKT. MWINYI APOKEA RIPOTI YA CAG ZANZIBAR YA MWAKA 2024/2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameipokea Ripoti ya Mdhibiti...

SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR KUENDELEZA USHIRIKIANO NA IRELAND

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar itaendelea kuimarisha...

KAMBI YA WAKIMBIZI NDUTA KUFUNGWA KUFUATIA UREJESHWAJI WA HIARI WA WAKIMBIZI BURUNDI

Kambi ya Wakimbizi ya Nduta iliyopo Wilaya ya Kibondo, Mkoa wa Kigoma inatarajiwa kufungwa rasmi Leo Aprili 30,...

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA WADAU KUTOA ELIMU YA UPANDAJI MITI KWA BIASHARA YA KABONI

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeendelea kufanya jitihada mbalimbali ili kuhakikisha...