HAVANA, CubaRAIS wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, hajaonesha unyonge, licha ya Taifa lake kuendelea kupewa presha kubwa na Rais wa Marekani, Donald Trump.
Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akitishia kuivamia Cuba,...
.MAUREEN MALLYA
ASUBUHI moja tulivu katika eneo la kivuko cha Kigamboni (ferry) kuna umati mkubwa wa watu wanaosubiri kivuko, katika umati huo mimi nilikuwepo.
Watu wakiwa...
MAUREEN MALLYA
MIAKA kadhaa iliyopita, nikiwa binti mbichi wa miaka kumi na tisa nilimchokoza baba yangu. Nia au dhumuni langu kubwa ilikuwa kupata nafasi ya...
MAUREEN MALLYA
MMOJA wa bibi zangu aliyefariki miezi michache iliyopita alikuwa na mali nyingi sana; majumba, viwanja na magari ya kifahari, alikuwa tajiri na watoto...
ABBAS MWALIMU0719 25 84 84
MJADALA mkubwa kwa sasa ni ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere inayojadiliwa bungeni, Dodoma.
Ripoti...
GEORGINA ROESER
HISTORIA ya Tanzania ina mashujaa wake. Mtemi Milambo wa Wanyamwezi ni miongoni mwa mashujaa wa Taifa letu ambaye historia yake tumeienzi kwa kuwa...